The Headmost
Senior Member
- Aug 28, 2011
- 127
- 61
Duniani kuna mambo, ingia kwenye mitaa ukajionee.Mto Nile ni moja kati ya mito mikubwa duniani
Duniani kuna mambo, ingia kwenye mitaa ukajionee.Mto Nile ni moja kati ya mito mikubwa duniani
Hapa ni kazi tu mshahara kwenuUnaubavu wa kuwaondoa waharibifu wa uzi huu, ahsante kunikaribisha tena hapa...
Kwenu kunaweza kukawa kunadhiki sana..lakini unashauriwa jitume usipakimbia..kwani mkataa kwao mtumwa.Hapa ni kazi tu mshahara kwenu
Mtumwa wa Kinyamwezi au Msukuma?Kwenu kunaweza kukawa kunadhiki sana..lakini unashauriwa jitume usipakimbia..kwani mkataa kwao mtumwa.

Msukuma akija mjini inakuwa taabu kweli kweliMtumwa wa Kinyamwezi au Msukuma?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Kweli ni shida tupu bora wabaki huko huko MbutuMsukuma akija mjini inakuwa taabu kweli kweli![]()
![]()
![]()
![]()
Mbutu ni wapi mtebetini twambieKweli ni shida tupu bora wabaki huko huko Mbutu
Twambie nasisi tupajue.Mbutu ni wapi mtebetini twambie
Tupajue kama unaishi Dar Mbutu ni kitongoji eneo la kigamboni karibu ya kimbiji kimeja wasukuma na inasemekana wanatokea ShinyangaTwambie nasisi tupajue.
Shinyanga kule mwadui kwenye madini.Tupajue kama unaishi Dar Mbutu ni kitongoja eneo la kigamboni karibu ya kimbiji kimeja wasukuma na inasemekana wanatokea Shinyanga
Madini aloweka Diamondi mdomon mwake ni shilingi ngapi?Shinyanga kule mwadui kwenye madini.
Ngapi inabaki Kama ukitoa nane kwenye kumi na sitaMadini aloweka Diamondi mdomon mwake ni shilingi ngapi?
sita ni namba inayo fuata baada ya TanoNgapi inabaki Kama ukitoa nane kwenye kumi na sita
Tano ndo awamu ya serikali tulioisubilia kwa hamu lakini kwasasa wengi ishatutumbukia nyongo.sita ni namba inayo fuata baada ya Tano
Nyongo ukiiendekeza itakufikisha Hospitali kuu ya Muhimbili Moula akupishe mbali "puu", Jitunze ndugu yangu maisha hayahitaji presha.....😛Tano ndo awamu ya serikali tulioisubilia kwa hamu lakini kwasasa wengi ishatutumbukia nyongo.
Presha ni tatizo liliua wazee wetu wengi...tena wengine hata kwa ushabiki wa simba na yanga.Nyongo ukiiendekeza itakufikisha Hospitali kuu ya Muhimbili Moula akupishe mbali "puu", Jitunze ndugu yangu maisha hayahitaji presha.....😛
Yanga Bwanga alikuwa mchezaji bingwa wa soka afrika, aliiletea sifa nchi yetu.....Presha ni tatizo liliua wazee wetu wengi...tena wengine hata kwa ushabiki wa simba na yanga.
Nchi yetu ni kama geto kabsaaYanga Bwanga alikuwa mchezaji bingwa wa soka afrika, aliiletea sifa nchi yetu.....
Kabsaa ni neno la kiarabu fasihi maana yake kandamiza...!!!😛Nchi yetu ni kama geto kabsaa