ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
nchi yetu tunaipenda sana ndio maana hatuchoki kuilinda na kuijenga...Heri ya fanaka na mafanikio tele ili nirudi salama tuendelee kuijenga nchi
nchi yetu tunaipenda sana ndio maana hatuchoki kuilinda na kuijenga...Heri ya fanaka na mafanikio tele ili nirudi salama tuendelee kuijenga nchi
Kuijenga kila siku tangu ukoloni haiishi tu!?nchi yetu tunaipenda sana ndio maana hatuchoki kuilinda na kuijenga...
Tu aina ya mlio wa kishindo huko uendako, jee kutakuwa hakuna mawasilianoKuijenga kila siku tangu ukoloni haiishi tu!?
Uwelewano ndiyo amani, Uelewano ndiyo uzalendo na utaifa... hata ndege wanaelewana ndiyo maana wanatumia anga moja bila kugongana....!!😀Mahusiano ya wastaarabu hujenga umoja na uelewano
Kugongana kwa magari ni uzembe wa madereva.Uwelewano ndiyo amani, Uelewano ndiyo uzalendo na utaifa... hata ndege wanaelewana ndiyo maana wanatumia anga moja bila kugongana....!!😀
Madereva wa magari makubwa na madogo(siyo wote)wana hulka ya umalaya.Kugongana kwa magari ni uzembe wa madereva.
Madereva wawe makini katika kufuata sheria za usalama barabarani maana ajali zimekuwa masayibu kwa taifa !!!Kugongana kwa magari ni uzembe wa madereva.
Madereva wawe makini katika kufuata sheria za usalama barabarani maana ajali zimekuwa masayibu kwa taifa !!!
Furaha yetu kupata serikali yenye kutujali na kututetea wananchi wenye hali ya kawaida....Taifa letu Ni zuri tulijenge Kwa furaha
Kawaida ya matrafiki wengi barabarani ni hupokea rushwa.Furaha yetu kupata serikali yenye kutujali na kututetea wananchi wenye hali ya kawaida....
Rushwa ni adui wa hakiKawaida ya matrafiki wengi barabarani ni hupokea rushwa.
Haki upewe na haki utoa na sote tuwe wa haki hapo tuatika huko tuendako.....Rushwa ni adui wa haki
Tuendako ni kuzito..kunaadhabu ya kabri tuusiane juu ya kuacha maasi na kutubu dhambi.Haki upewe na haki utoa na sote tuwe wa haki hapo tuatika huko tuendako.....
Dhambi kuiba,kusengenya,kusema uongo,kutukana,kuzini kwa ujumla ni kutenda mema na kuacha mabaya.Tuendako ni kuzito..kunaadhabu ya kabri tuusiane juu ya kuacha maasi na kutubu dhambi.
Dhambi zote hufutwa endapo utatubu na kujirekebisha matendo yako juu ya wenzio.....Tuendako ni kuzito..kunaadhabu ya kabri tuusiane juu ya kuacha maasi na kutubu dhambi.
Mabaya yao yasituharibie mazuri yetu, japo tumewasamehe....Dhambi kuiba,kusengenya,kusema uongo,kutukana,kuzini kwa ujumla ni kutenda mema na kuacha mabaya.
Tumewasamehe wote viongozi waliotutukana.. hata wale waliotuambia tutakula hata nyasi ili ndege ya raisi inunuliwe lakini Mungu amewalipa hapahapa duniani.Mabaya yao yasituharibie mazuri yetu, japo tumewasamehe....
Duniani kila mbabe ana mbabe wake na hataondoka kiumbe hapa hadi ahesabiwe yote aliyotenda.....Tumewasamehe wote viongozi waliotutukana.. hata wale waliotuambia tutakula hata nyasi ili ndege ya raisi inunuliwe lakini Mungu amewalipa hapahapa duniani.