Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hapo umeuliza kama mimi ni raia mwenzako. Ila siwezi kujibu kwani sijui wewe ni raia wa wapi? Mimi ni wa Tanzania.
 
Kubaguana hatuna waTz, bali wewe ndiye uliyeniuliza kwanza. Turudi juu ya utalii wa Mbeya, naweza kuwa mteja wako siku moja.
 
Biashara ni matangazo, inaelekea hutaki kutujuza vivutio vilivyo Mbeya ili tuwe wateja wako
Wako wangu na wetu sote tuna karibisha maonyesho ya utalii la "Serengeti,kilimanjaro na Zanzibar" ila hiyo ya vivutivo huko Mbeya ndiyo itauwa Duniani !!!!
 
Wako wangu na wetu sote tuna karibisha maonyesho ya utalii la "Serengeti,kilimanjaro na Zanzibar" ila hiyo ya vivutivo huko Mbeya ndiyo itauwa Duniani !!!!
Duniani kumekywa na mambo mengi sana mabaya sikuhizi kuliko zamani

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
 
Duniani kumekywa na mambo mengi sana mabaya sikuhizi kuliko zamani

Sent from my TECNO_P5_PLUS using JamiiForums mobile app
Zamani tulitawaliwa tukanyanyaswa, Sasa tunajitawala na tunajinyanyasa wenyewe.....😀
 
Wenyewe kwa wenyewe bilakujali sisi sote haki sawa,mana vyote tuvionavyo tumevikuta.
Tumevikuta na tutaviacha kwani siyo vyetu... ila nafsi zetu zinatuaminisha kuwa hii ni haki yetu samahani tena tutaondoka patupu muflisi......
 
Mikwambe kule kuna shule yaka ..tena ipombali anapelekwa mtoto kutoka Tandika au mbagala na anafiki kachoka na kurudi kachoka hali hii ndo inachangia mtoto wa maskini kuendelea kufeli.
Kufeli kwangu mie nispo kupa mkono ndg. mtebetini Salaamu za Mfungo wa Ramadhani nawatakie kheri na Amani....
 
Back
Top Bottom