Kutokulala huwa ahadi zinatolewa lakini wengi huishia kusinziaWape walio katika ubora wa kutokulala
Kusinzia ni dalili za kuchoka bwana mtebetini ulale, huwezi shindana na thread ya 2012Kutokulala huwa ahadi zinatolewa lakini wengi huishia kusinzia
2012-2016 kwani miaka mingapi? Mi sijasema nataka kushidana na sredi nataka kukesha na wachangiajiKusinzia ni dalili za kuchoka bwana mtebetini ulale, huwezi shindana na thread ya 2012

Wachangiaji mbona siwaoni au ndo uchovu?
Binaadamu wanapenda mjadala.....Uchovu ni kitu cha kawaida kwa binadamu...
Mjadala usio na kichwa wala miguu just for fun kama huuBinaadamu wanapenda mjadala.....
Huu umbeya hapa mtaani kwetu utaisha lini, naona hatuendelei kabisa.....Mjadala usio na kichwa wala miguu just for fun kama huu
Kabisa ni jina la jamaa mmoja hv nilisoma naye..Huu umbeya hapa mtaani kwetu utaisha lini, naona hatuendelei kabisa.....
Naye akimwaga mboga mie ntamwaga ugali acha tukaae na njaa......Kabisa ni jina la jamaa mmoja hv nilisoma naye..
Njaa haina tajiri wala masikiniNaye akimwaga mboga mie ntamwaga ugali acha tukaae na njaa......
Masikini wa division 4 wametemwa huko chuoni sijui hatma yao itakuaje.....?Njaa haina tajiri wala masikini
Itakuwaje mi nawashauri wavute subira,waswahili tunasema subira yavuta kheri, Mwenyezi Mungu yupo na wenye kusubiriMasikini wa division 4 wametemwa huko chuoni sijui hatma yao itakuaje.....?
Kusubiri kiangazi ukale kivulini... Kusubiri kuna mipaka yake... Kusubiri bandarini utaziona meli za funga nanga !!!Itakuwaje mi nawashauri wavute subira,waswahili tunasema subira yavuta kheri, Mwenyezi Mungu yupo na wenye kusubiri
Nanga ya meli ni sawa na breki ya mkono ya gariKusubiri kiangazi ukale kivulini... Kusubiri kuna mipaka yake... Kusubiri bandarini utaziona meli za funga nanga !!!
Gari la kifahari linauzwa bei mbaya...Nanga ya meli ni sawa na breki ya mkono ya gari
Tatizo la gari la kifahari ni utunzaji wake maana hakuna wataalamu wa kulikarabati.....Mbaya kwa asiyenazo, wengine fedha si tatizo
Kulikarabati ni kazi ya wahandisi inatakiwa wapate elimu kila yanapotokea mabadiliko ya kitek-nologiaTatizo la gari la kifahari ni utunzaji wake maana hakuna wataalamu wa kulikarabati.....