Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Kitek-nologia na kidigitali tumewaanda vipi vijana wetu hapa nchini....?Kulikarabati ni kazi ya wahandisi inatakiwa wapate elimu kila yanapotokea mabadiliko ya kitek-nologia
Kitek-nologia na kidigitali tumewaanda vipi vijana wetu hapa nchini....?Kulikarabati ni kazi ya wahandisi inatakiwa wapate elimu kila yanapotokea mabadiliko ya kitek-nologia
Ndogo ndogo ni biashara za wa machinga hapa jijini....Nchi yangu niliondokaga nilivyokuwa ndogo
Machafu yake yote yalidhihiri alipo kamatwa na Polisi......Jijini Kwenu kuna madimbwi ya maji machafu
Polisi ni walinzi wa usalama wa Raia na Mali zakeMachafu yake yote yalidhihiri alipo kamatwa na Polisi......
Aibu inatiya unyonge inapaswa ujipange katika majibu....Kigogo,ilala,magomeni au kariakoo hata Buguruni yote ni maeneo ya wastaarabu basi unapoingia eneo la watu zingatia sheria na taratibu za wenyeji wa hapo la sivyo utatia aibu
Aibu inatiya unyonge inapaswa ujipange katika majibu....
Aibu inatiya unyonge inapaswa ujipange katika majibu....
Fulani aliniambia mkasa wote wa bandarini vipi uchukuzi wa mizigo !!!Majibu yanaeleza juu ya uelewa Wa mtu ktk masuala fulani
Fulani aliniambia mkasa wote wa bandarini vipi uchukuzi wa mizigo !!!
Mizigo ya bandarini si ya Tanzania tuu bali ipo ya nchi jirani zetu za Rwanda,Burundi,Congo,Zambia na MalawiFulani aliniambia mkasa wote wa bandarini vipi uchukuzi wa mizigo !!!
Kwao si kwa mwanajesh yule anaeisiwa kuwa ni Jambazi suguWapi unauliza ?Mtwara ndio kwao
Sugu si jambazi bali ni mbunge wa MbeyaKwao si kwa mwanajesh yule anaeisiwa kuwa ni Jambazi sugu
Mbeya ni jiji lenye Airport nzuri hapa nchini... napendelea kuteremaka nikiwa na watalii....Sugu si jambazi bali nu mbunge wa Mbeya