Turnoff
JF-Expert Member
- Mar 11, 2016
- 764
- 913
linashuka povu na hivyo kuufanya uso kua na tabasamKuburudishana Ni afya katika mwili.Kunaondoa udhaifu wa mwili Na povu linashuka.
linashuka povu na hivyo kuufanya uso kua na tabasamKuburudishana Ni afya katika mwili.Kunaondoa udhaifu wa mwili Na povu linashuka.
linashuka povu na hivyo kuufanya uso kua na tabasam
Tabasamu pia husaidia kutopata makunyanzi usoniTabasamu Ni zawadi unayo towa Kwa kila unaye kutananaye Na bado haimaliziki. Kwa Wahenga wa majuu wanasema(smile is the best gift you give and you still keep it)Tabasamu
Usoni saa nyingine huwa Kuna vipele cjui huwa vinatokana na niniTabasamu pia husaidia kutopata makunyanzi usoni
Magufuli jina maarufu sana Afrika MasharikiNini umesema? Sukari kilo 1800 Du Asante Magufuli.
Asante magu....ila kwetu bado elfu nneNini umesema? Sukari kilo 1800 Du Asante Magufuli.
Kuzuri sana nyumbani,hata sitamani kuishi ugaibuniMashariki au Magharibu Nyumbani ni Kuzuri
Bongo nasikia kunamsongamano wa watu na magariUgaibuni ni kwa wenyewe,wacha sisi tubaki Bongo
Magari yakifahari yanapatkana bongo kuliko Nigeria angali wana uchumi mzuri kushnda sisiBongo nasikia kunamsongamano wa watu na magari
Sisi watanzania tumesaidia sana ukombozi wa nchi nyingi za AfrikaMagari yakifahari yanapatkana bongo kuliko Nigeria angali wana uchumi mzuri kushnda sisi
lock haitoki bar ladba upunguze mawazo
Mabaya zaidi pale unaposhauriwa ndivyo sivyoo
Hivyo ndg zuleykha nahitaji mtu wa kunichora piko je nitampata wapiSivyoo ndio hivyoo
Wapi nini nenda tanga au zenji utapakwa hadi ukinaiHivyo ndg zuleykha nahitaji mtu wa kunichora piko je nitampata wapi