Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Dangote alifunga kiwanda chake cha nyanya kutokana na uhaba wa malighafi hiyo.
 
Sikosei chagabebe Mohamed Ali alikuwa maarufu duniani bondia wa masumbwi Au ngumi Vilevile alikuwa mpigania wa haki za binaadam duniani Khaswaa huko USA
Usa inaongoza kwa kutajwa mara nyingi kwenye hii thread
 
USA....unamaanisha Mahamed Ali amefariki

Amefariki dunia huko L.A(Los Angeles) alikuwa mgonjwa muda mrefu(ugonjwa wa kutetemeka)
MwenyeeziMungu apumzishe roho yake mahali pema peponi.
 
Back
Top Bottom