Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 404
Wakuu mbona mmeniacha njiani? post yangu hii mmeniachia mwenyeweUghaibuni kwenyewe siku hizi mmm!
Wakuu mbona mmeniacha njiani? post yangu hii mmeniachia mwenyeweUghaibuni kwenyewe siku hizi mmm!
Kisasa !! Sasa sikiliza usinikwazeKuku wa kienyeji ni watamu kuliko wa kisasa
Mwenyewe nilipokuona pale pembeni umesimama nikajua wewe ni mgeni....maana hakuna neno la hivoati "mmm" ili ushirikishwa humu yakupasa umwage material.....Wakuu mbona mmeniacha njiani? post yangu hii mmeniachia mwenyewe
Material? yes umemwaga wewe ha ha ha haaa!Kisasa !! Sasa sikiliza usinikwaze
Mwenyewe nilipokuona pale pembeni umesimama nikajua wewe ni mgeni....maana hakuna neno la hivoati "mmm" ili ushirikishwa humu yakupasa umwage material.....
Ha ha haa.. ni kicheko cha kejeri !! Lakini ndg. J Bonge nimekukubali sana hebu lete wasifu wako tukupe ubingwa...😀Material? yes umemwaga wewe ha ha ha haaa!
Ubingwa mara hii? hee!Ha ha haa.. ni kicheko cha kejeri !! Lakini ndg. J Bonge nimekukubali sana hebu lete wasifu wako tukupe ubingwa...😀
Hee !! Mkuu mikwanja ya maandiko yako inaishia herufi tatu tu (mmm,haa,hee) !! hapo ni miujiza....Ubingwa mara hii? hee!
miugiza nifanye mimi?! ni Mungu tu.Hee !! Mkuu mikwanja ya maandiko yako inaishia herufi tatu tu (mmm,haa,hee) !! hapo ni miujiza....
Mungu tu ndiyo mpangaji na mpanguaji.. Mungu tu ndiyo mleta uhai na mchukuwa uhai....miugiza nifanye mimi?! ni Mungu tu.
miugiza nifanye mimi?! ni Mungu tu.
Uhai sawa lakini hapo pekundu daaa!!Mungu tu ndiyo mpangaji na mpanguaji.. Mungu tu ndiyo mleta uhai na mchukuwa uhai....
Daaa !! ndi ndi ndi Tanzania kwa nje taamu ila kwa ndani utaipata chungu !!!Uhai sawa lakini hapo pekundu daaa!!
Chungu ndiyo maana hukutaka kuanza nayo. Hebu anza na tu.Daaa !! ndi ndi ndi Tanzania kwa nje taamu ila kwa ndani utaipata chungu !!!
Tuliza manyanga !! sakata la sukari bado halijaisha tumeshageuziwa kibao cha wanafunzi.....Chungu ndiyo maana hukutaka kuanza nayo. Hebu anza na tu.
Wanafunzi na wewe ni miongoni mwao. Tuliza siyo tu.Tuliza manyanga !! sakata la sukari bado halijaisha tumeshageuziwa kibao cha wanafunzi.....
Tu, tunda la peponi kulipata inakubidi ufe msafi......Wanafunzi na wewe ni miongoni mwao. Tuliza siyo tu.
Msafi wa simu kuiweka screen protecter mchafu wa mwili unazini bila condomTu, tunda la peponi kulipata inakubidi ufe msafi......
Tu, tunda la peponi kulipata inakubidi ufe msafi......
Msafi? Ndiyo nitakuwa kwa neema yake.Tu, tunda la peponi kulipata inakubidi ufe msafi......
Yake gari lilipo haribika likavutwa na winchi hadi gereji......Msafi? Ndiyo nitakuwa kwa neema yake.
Gereji za nchi zmetekwa na wachinaYake gari lilipo haribika likavutwa na winchi hadi gereji......
Wachina waangaliwe kwa jicho la piliGereji za nchi zmetekwa na wachina
Wachina waangaliwe kwa jicho la pili