Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kiswahili in wasaa wa maneo kadha.. Boko ni chakula, Boko ni mikwaju, boko myama..hapo umenpata !!

Umenpata wapi ZZ.BOKO Ni Kihausa huko Nigeria maana yake Ni KItabu Au somo.
Wale magaidi wanatafsiri usomi wa inchi za magharibi.Hapa TZ bokoboko Ni mchanganyiko wa nyama ya kusaga Na unga Au mchele Pamoja.
 
Umenpata wapi ZZ.BOKO Ni Kihausa huko Nigeria maana yake Ni KItabu Au somo.
Wale magaidi wanatafsiri usomi wa inchi za magharibi.Hapa TZ bokoboko Ni mchanganyiko wa nyama ya kusaga Na unga Au mchele Pamoja.
Pamoja tukitembea tutafika safari kwa uhakika
 
Haupo Barcelona ewe Zuleykha, why ? @Zamiluni sikujua kama moula ni fasaha zaidi ya Mola

Mola wetu tusaidie Na majanga ya sio kwisha
Hili jukwaa mpaka Raha.Nilitua Uwanja wa ndege wa Cairo miaka ya nyuma.Kuna sehemu imeandikwa "vyo vyote ulivyo wako maelfu Kama wewe" maana kama wewe msomi wako wengi Kama wewe tapeli wamejaa.
Hapa Jamii forums Ni Raha
 
Mola wetu tusaidie Na majanga ya sio kwisha
Hili jukwaa mpaka Raha.Nilitua Uwanja wa ndege wa Cairo miaka ya nyuma.Kuna sehemu imeandikwa "vyo vyote ulivyo wako maelfu Kama wewe" maana kama wewe msomi wako wengi Kama wewe tapeli wamejaa.
Hapa Jamii forums Ni Raha
Raha ni kwetu wote na hasa kwa mbunifu wa hili jamvi
 
Back
Top Bottom