amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
TANZANIA, Tanzania nakupenda kwa moyo wote..Mbali mbali !! ilikuwa karibu ila sera za ubabaishaji na mfumo wa "usijue zaidi yangu" ndiyo umetesa raia wa TANZANIA....
TANZANIA, Tanzania nakupenda kwa moyo wote..Mbali mbali !! ilikuwa karibu ila sera za ubabaishaji na mfumo wa "usijue zaidi yangu" ndiyo umetesa raia wa TANZANIA....
Wote tunaipenda nchi hii lakini usijifanye wewe tu ndo mpenzi....😛TANZANIA, Tanzania nakupenda kwa moyo wote..
HahahahaWote tunaipenda nchi hii lakini usijifanye wewe tu ndo mpenzi....😛
Hahahaha cheko lako ladhihirisha furaha ya moyoni.....Hahahaha
Mpenzi wangu nimpenda kwa dhati ni siri baina yangu na yake haijuzu watu wajuweWote tunaipenda nchi hii lakini usijifanye wewe tu ndo mpenzi....😛
Wajuwe viongozi maarafu barani Afrika siku moja utaalikwa ikulu ukawasalimu...Mpenzi wangu nimpenda kwa dhati ni siri baina yangu na yake haijuzu watu wajuwe
Zanzibar ina vivutivo na fukwe nzuri ktk bahari hindi.....Wajuwe mwaka huu lazima CUF wapewe uongozi Zanzibar
Hindi likichomwa vizuri likatiwa na ndimu na pilipili kwa sisi wana darisalamu tunajua utamu wake hasa uwe kituoni mvua imenyesha afu unasubiri daladala ya kutoka post-rang 3 au ubungo/posta- g/mboto afu iwe jioni ndio utamu wake huzidiZanzibar ina vivutivo na fukwe nzuri ktk bahari hindi.....
utamu wake huzidi pare sukari inapokua adimu!Hindi likichomwa vizuri likatiwa na ndimu na pilipili kwa sisi wana darisalamu tunajua utamu wake hasa uwe kituoni mvua imenyesha afu unasubiri daladala ya kutoka post-rang 3 au ubungo/posta- g/mboto afu iwe jioni ndio utamu wake huzidi
Zanzibar ni moja kati ya miji mikongweWajuwe mwaka huu lazima CUF wapewe uongozi Zanzibar
Yamechakaa wapi turnoff wakati niliyapaka rangi yote mpaka ukutaniMikongwe hata majengo yao yamechakaa
Ukutani limetundikwa joho la MfalmeYamechakaa wapi turnoff wakati niliyapaka rangi yote mpaka ukutani
Mfalme zamani,cku hizi mteja ndo mfalmeUkutani limetundikwa joho la Mfalme
Mfalme wa Kijiji chetu cha zamani alikuwa MiramboMfalme zamani,cku hizi mteja ndo mfalme