Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Hilo gari gani ZZ maana 1910 ilikuwa Royal G model
Model hiyo ilitokea uengerza ndo zilikuwa za kwanza...
images
 
Leo ukidunda Na range lazima utaulizwa kazi yako
Yako mambo ntajibu, na yapo mambo sintojibu ! Kwa kuwa hapa nchini TZ mtu ukiwa na simu 2 tu unapakiziwa fisadi au ukivaa maidadi unashyumiwa Dw/za kulevya !! lakini ukivaa kaniki Ohh amewehuka/kichaa huyo!! ilimradi taifa hili ni la majanga na balaa.....
 
Back
Top Bottom