Mainus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 295
- 238
Hiyo itatokana na mapendekezo ya kamati husikaVumilia Mwasha moja kati ya watangazaji ya ITV, kituo Ambazo kimedumu zaidi ya miaka 22. Lakini bado kinategemewa zaidi kwa habari za ndani Na nje ya nchi. Je Ndugu Mengi apewe tuzo ya heshima kwa kuweza kufanya chombo kuwa Imara namna hiyo?