Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Vumilia Mwasha moja kati ya watangazaji ya ITV, kituo Ambazo kimedumu zaidi ya miaka 22. Lakini bado kinategemewa zaidi kwa habari za ndani Na nje ya nchi. Je Ndugu Mengi apewe tuzo ya heshima kwa kuweza kufanya chombo kuwa Imara namna hiyo?
Hiyo itatokana na mapendekezo ya kamati husika
 
Yanakondesha kwa minajili ya misongo isiyotatulika.....
Isiyotatulika migogiro ya wakulima na wafugaji. Je unafikiri nguvu ya dola au diplomasia itumike kwenye kutatua hiyo migogoro??

5b34f4810c384518aa3bac671f0a31cc.jpg
 
Umakini unatakiwa unapo kata kucha kwani unaweza kujikata kidole.
 
Mtemakuni Ni neno nililokutananalo shule ya msingi miaka takribani 25 iliyopita, lakini sijui maana yake hadi leo!.
Leo nitakufundisha maana yake "yule mkataji kuni kawaida yake kuingini msituni na kukata kuti kwa shoka/panga lake lakini siku hiyo baada ya kuingia msituni alijikuta kasahau shoka lake" ndiyo yaliyomkuta !!
 
Leo nitakufundisha maana yake "yule mkataji kuni kawaida yake kuingini msituni na kukata kuti kwa shoka/panga lake lakini siku hiyo baada ya kuingia msituni alijikuta kasahau shoka lake" ndiyo yaliyomkuta !!
Yaliyomkuta yanachekesha lakini upande mwingine namuonea huruma, nashukuru kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom