amaizing
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 3,616
- 12,398
Kutuvuta hawataweza na watachoka cha msingi tupige kaz tuache rushwa na ufisadiUmasikini ni wetu na sisi ndiyo wenye jukumu la kuuondoa tusisubiri aje mtu kutoka nje kutuvuta .....
Kutuvuta hawataweza na watachoka cha msingi tupige kaz tuache rushwa na ufisadiUmasikini ni wetu na sisi ndiyo wenye jukumu la kuuondoa tusisubiri aje mtu kutoka nje kutuvuta .....
Ufisadi na Rushwa hawa ni kurwa na Dotto,waungwana baraza nawaachia naenda kujipumzisha tulale unonoKutuvuta hawataweza na watachoka cha msingi tupige kaz tuache rushwa na ufisadi
Unono tumelala na asubuh imefika, Zamiluni Zamiluni amka twende tukausake utajiriUfisadi na Rushwa hawa ni kurwa na Dotto,waungwana baraza nawaachia naenda kujipumzisha tulale unono
Utajiri mbona Arazaki keshantunikia (Afya,uhai,uzima nk nk) kazi na kuwajibika ndiyo maendelezo....Unono tumelala na asubuh imefika, Zamiluni Zamiluni amka twende tukausake utajiri
Mshindi ni yule mwenye kusahihisha makosa kama DOKEZO !! ila ongeza juhudi hadi turiidhike..maendelezo au maendeleo?? makosa madogo madogo kama haya ndio yanatufelisha katika maisha yetu ya kilasiku.Tuyaepuke. Mimi ndio wa mwisho na mshindi.![]()
![]()
turiidhike au turidhike?? tuache makosa hayo madogomadogo jamani na nimeshawaambia ushindi ni wangu mimi ndioMshindi ni yule mwenye kusahihisha makosa kama DOKEZO !! ila ongeza juhudi hadi turiidhike..

Ndio makosa ya typing hayajalishi kuwa ni kosa.., wee mezea minor cases Ushindi utaupata ila hutokubalika ndani ya jamii.....turiidhike au turidhike?? tuache makosa hayo madogomadogo jamani na nimeshawaambia ushindi ni wangu mimi ndio![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jamii imebadilika kuwanyanyapaa walemavuNdio makosa ya typing hayajalishi kuwa ni kosa.., wee mezea minor cases Ushindi utaupata ila hutokubalika ndani ya jamii.....
Walemavu wapo katika dhima yetu siye na taifa letu, kote tuendako watakuwa nasi.....Jamii imebadilika kuwanyanyapaa walemavu
Nasi hatuna budi kuwasaidia kwa hali na maliWalemavu wapo katika dhima yetu siye na taifa letu, kote tuendako watakuwa nasi.....
Nasi tuwaone huruma kwani wajibu wetuWalemavu wapo katika dhima yetu siye na taifa letu, kote tuendako watakuwa nasi.....
Mali si wali, nafsi zetu hupenda kulumbukiza mali na kujifahirisha ila kutoa ni moyo....Nasi hatuna budi kuwasaidia kwa hali na mali
Wetu huwa unajulikana kwa mavazi ya rangi rangi.....Nasi tuwaone huruma kwani wajibu wetu
China mji mkuu wao ni PekingRangi rangi za vitenge na khanga huchapishwa kiwandani huko china....
China mji mkuu wao ni Peking
Perking? Kaye
Nini kilichoandikwa hakielewekiKaye.....hapa sijui ulimaanisha nini