Kwako ulifunga mlangoKuadimika Ni kitendo cha mtu kupotea machoni kwako
Kwako kuna usalama ila kwangu kuna amani.....Kuadimika Ni kitendo cha mtu kupotea machoni kwako
Mlango umesindika sukuma uingie ndani....Kwako ulifunga mlango
Ndani nimeingia lakini hukuwepo kaka zamiluni nadhani ulikuwa umetokaMlango umesindika sukuma uingie ndani....
Umetoka tu, baada ya mie kuingia Jee tuna uhasama wa kichama ?Ndani nimeingia lakini hukuwepo kaka zamiluni nadhani ulikuwa umetoka
Kichama kimoja kinasumbua nchi hiiUmetoka tu, baada ya mie kuingia Jee tuna uhasama wa kichama ?
Kesho Mungu akitujalia kuamka salama tuwasiliane MkuuTuu nimepita kuwasalimia 'wakuu'tutaonana kesho.
Mkuu wa wilaya ya Namtumbo kahamia DarisalamaKesho Mungu akitujalia kuamka salama tuwasiliane Mkuu
Hii ni moja ya kurekebishanaKichama kimoja kinasumbua nchi hii
Darisalama ni jiji la kulalama lakini ndipo wanapokimbiliaMkuu wa wilaya ya Namtumbo kahamia Darisalama
Wanapokimbilia ni Dar-es-salaam tusiharibu majina ya miji yetu kama baadhi yetu tunavyo tamka Leicester (inatamkwa Leista) wengi (hutamka Leisista) tujirekebishe.Hii ni moja ya kurekebishana
Darisalama ni jiji la kulalama lakini ndipo wanapokimbilia
Tujirekebishe khaswa kwa niaba ya wenzangu tunakushukuru mtebetini kwa muongozo.....Wanapokimbilia ni Dar-es-salaam tusiharibu majina ya miji yetu kama baadhi yetu tunavyo tamka Leicester (inatamkwa Leista) wengi (hutamka Leisista) tujirekebishe.
Mambo ya kuiga bila kuwa na mantik ni kupoteza thamani.......Muongozo alioutoa Mtebetini nimeupokea vizuri nami namuunga mkono,.. Haipendezi hata kidogo unapobadilisha jina halisia la kitu au mtu eti kwa ajili ya kwenda na wakati (swaga) tusiwe tunapotosha mambo.
Thamani ya kitu ni kuenzi uhalisia wa kile kilichoanzishwa na waasisi wa jina la maji, kitu au mtu kwakua walikua na sababu au maana ya jina hilo, sasa ukianzisha swaga zinazopoteza maana halisi ni kupoteza historia.Mambo ya kuiga bila kuwa na mantik ni kupoteza thamani.......
Historia imeandkiwa jana baada ua Leicester kutawazwa mabingwa wa EPLThamani ya kitu ni kuenzi uhalisia wa kile kilichoanzishwa na waasisi wa jina la maji, kitu au mtu kwakua walikua na sababu au maana ya jina hilo, sasa ukianzisha swaga zinazopoteza maana halisi ni kupoteza historia.
EPL !! Mbongo kuishangilia Lesita... kunaleta faraja ya mda tu., tuungange kuwahamasisha Vijana wetu wajitume viwanjani !!!Historia imeandkiwa jana baada ua Leicester kutawazwa mabingwa wa EPL
EPL !! Mbongo kuishangilia Lesita... kunaleta faraja ya mda tu., tuungange kuwahamasisha Vijana wetu wajitume viwanjani !!!