Kupasuka kutatokea pale wananchi watakapogomea utawala WA mabavu
Jamii yetu ni kama jamii zingine zzte, Hivyo yapaswa kuheshimwa maoni yake na matakwa ya wengi..Mabavu hayana nafasi katika jamii yetu
Wengi wanapendelea maoni yanayonufaisha woteJamii yetu ni kama jamii zingine zzte, Hivyo yapaswa kuheshimwa maoni yake na matakwa ya wengi..
Amani ni muhimu yazidisha upendo na furahaMabavu ya Nini tunahitaji amani
Furaha hapa Tanzania ni ya upande mmoja..utafurahi ukiwa na ujamaa na kigogo !!Amani ni muhimu yazidisha upendo na furaha
Kigogo ni sehemu chafu madiwani wanastahili kuhubiri usafiFuraha hapa Tanzania ni ya upande mmoja..utafurahi ukiwa na ujamaa na kigogo !!
Xyz aahh nimekumbuka darasa LA kwanzaUsafi wa ni pamoja na kutopendelea filamu za x.
X inatumika alama ya zidisha kwenye hesabuUsafi wa roho ni pamoja na kutopendelea filamu za x.
Hesabu ya wafanya kazi hewa imekaribia elfu kumi na tano !!X inatumika alama ya zidisha kwenye hesabu
Elfu kumi na tano!! imekaribia lakini kwenye sherehe za Mei Mosi kitaifa huko Dodoma Mhe Rais ametangaza mpaka sasa wapo 10,295.nadhani hesabu itaongezekaHesabu ya wafanya kazi hewa imekaribia elfu kumi na tano !!
itaongezeka madhara,magonjwa,maafa na matatizo ikiwa serikali haitochukuwa hatua za lazima ktk kujenga miundombinu za kisasa....Elfu kumi na tano!! imekaribia lakini kwenye sherehe za Mei Mosi kitaifa huko Dodoma Mhe Rais ametangaza mpaka sasa wapo 10,295.nadhani hesabu itaongezeka
Kisasa zaidi nu kuinaniliu!itaongezeka madhara,magonjwa,maafa na matatizo ikiwa serikali haitochukuwa hatua za lazima ktk kujenga miundombinu za kisasa....
kuinaniliu ndiyo mpango halisi ilimradi wananchi tuwezeshwe...Kisasa zaidi nu kuinaniliu!
Tuwezeshwe kwani uwezo wetu mdogokuinaniliu ndiyo mpango halisi ilimradi wananchi tuwezeshwe...
Mdogo ni mdogo ila baada ya muda hutanuka na kukua pale wanapo uondoa urasimu....Tuwezeshwe kwani uwezo wetu mdogo
Mdogo wangu mtebetini nimekukumbuka umeadimika !!Tuwezeshwe kwani uwezo wetu mdogo