mtebetini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,924
- 2,036
Kuumbuliwa mwaka huu imekuwa kama big brother house kila wiki mtu unatoka kaumbukaUhakika wa mishahara utakuwepo baada ya watumishi hewa kuumbuliwa....
Kuumbuliwa mwaka huu imekuwa kama big brother house kila wiki mtu unatoka kaumbukaUhakika wa mishahara utakuwepo baada ya watumishi hewa kuumbuliwa....
Mazingaombwe yanaendelea nchinikaumbuka baada ya kujiita mwana mazingaumbwe
Nchini tunahitaji watu wenye uzalendo na wa kujituma....Mazingaombwe yanaendelea nchini
Mpunga !!!kujituma kulima shamba la mpunga
Mvua hizi zenye upepo na radi ni moja ya ghadhabu za Mungu kututia adabu.....mpunga wenyewe umeharibiwa na mvua
Samaki wa mvua hizo hutokana na kunyanyuliwa juu na kimbunga na hatimae kumwagwa....mvua za mwaka huu zimenyesha mpaka samaki
kututia adabu kucheza mchezo usoishaMvua hizi zenye upepo na radi ni moja ya ghadhabu za Mungu kututia adabu.....
Usoisha ni ule ubabaishaji wa TRA, usoisha ni ule ubambikizaji kesi huko polisi.....!!!kututia adabu kucheza mchezo usoisha
kumwagwa kama mchanga kwenye loriSamaki wa mvua hizo hutokana na kunyanyuliwa juu na kimbunga na hatimae kumwagwa....
polisi nalo ni jipu liloivaUsoisha ni ule ubabaishaji wa TRA, usoisha ni ule ubambikizaji kesi huko polisi.....!!!
lori langu ni semitrailor linabeba kontena mbili nyuma.....kumwagwa kama mchanga kwenye lori
Liloiva lichumwe na yale mabichi ya baki kama yalivo......polisi nalo ni jipu liloiva
mbili nyuma uongeze menginelori langu ni semitrailor linabeba kontena mbili nyuma.....
Mengine yakiongezwa yatasababisha lori kuto ondoka....mbili nyuma uongeze mengine
kama yalivyo mabas ya mwendo kasiLiloiva lichumwe na yale mabichi ya baki kama yalivo......
Kasi ya nini ndugu yangu mwendo uwe ruwaida ruwaida......kama yalivyo mabas ya mwendo kasi