Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Kulengwa kwa maazimio ya kuhujumu masilahi ya nchi ni usaliti ulukubuhu.....Kunako...... chomwa kule kwenye kulengwa
Kulengwa kwa maazimio ya kuhujumu masilahi ya nchi ni usaliti ulukubuhu.....Kunako...... chomwa kule kwenye kulengwa
Ulukubuhu na hakuna hata wakutilia mashakaKulengwa kwa maazimio ya kuhujumu masilahi ya nchi ni usaliti ulukubuhu.....
Mashaka makubwa nimebaki all alone!
Alone? Wee Mtebetini Hivi unafikiri wewe Na ZZ mnajifariji Na maneno yenu ya misamiati .Duh nimewashtukiaMashaka makubwa nimebaki all alone!
Nimewashtukia labda nukuulize Mkuu Mgogoone, baobonye na kicharazio msamiati upi unakufariji?Alone? Wee Mtebetini Hivi unafikiri wewe Na ZZ mnajifariji Na maneno yenu ya misamiati .Duh nimewashtukia

Nafarijika Na Kicharazio maana baobonye imakaa kidizaini ya mchezo wa bao.Nimewashtukia labda nukuulize Mkuu Mgogoone, baobonye na kicharazio msamiati upi unakufariji?
![]()
![]()
![]()
Bao mchezoni ni ushindi kwa sababu hiyo naungana nawe kufurahia ushindiNafarijika Na Kicharazio maana baobonye imakaa kidizaini ya mchezo wa bao.
Ushindi gani mnao utarajia bila kuwepo waamuzi wa kimataifa....?Bao mchezoni ni ushindi kwa sababu hiyo naungana nawe kufurahia ushindi
Kimataifa Zamiluni anafahamika kama msuluhishiUshindi gani mnao utarajia bila kuwepo waamuzi wa kimataifa....?
Msuluhishi huyu hapendelei au kuegemea upande mmoja.....Kimataifa Zamiluni anafahamika kama msuluhishi
Gani ni ubani wa kufukiza hupatikana kwenye miti adimu huko jangwani....Msuluhishi wa mambo gani
Jangwani mpaka sasa maji yamejaa na wale wakazi walio pesa viwanja mabwe pande walirudi sasa wanalia Na mvua ndio inazidi kuendeleaGani ni ubani wa kufukiza hupatikana kwenye miti adimu huko jangwani....
Yao hawaoni Kama wanaatarisha kwani wanapenda kupiga kelele kuwa selikari haiwajaliKuendelea kuishi hapo ni kuatarisha maisha yao
Haiwajali kwa kipi wakati wamefungua kesi mahakamani ili walipwe fidiaYao hawaoni Kama wanaatarisha kwani wanapenda kupiga kelele kuwa selikari haiwajali
Haiwajali kwa kipi wakati wamefungua kesi mahakamani ili walipwe fidia