lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,199
- 28,080
Bunduki imeokotwaUzi naipenda sana hii bunduki
Bunduki imeokotwaUzi naipenda sana hii bunduki
Imeokotwa wapi?ni ya kwangu niliibiwa jana🙁Bunduki imeokotwa
Jana nimekutana na mtoto wangu niliyemtelekezaga huko kijijini..amekuwa kijana sasa ni mwanachuo tena chuo kikuu!Imeokotwa wapi?ni ya kwangu niliibiwa jana🙁
Chuo kikuu?duuh mkuu kumbe ukorofi wa ubarobaro umeuanza siku nyingi eeh?Jana nimekutana na mtoto wangu niliyemtelekezaga huko kijijini..amekuwa kijana sasa ni mwanachuo tena chuo kikuu!
Eeh na ndio nazeeka sasa..mtoto wa utotoni huyo amna aliyekubali mpaka alipotoka na sura yanguChuo kikuu?duuh mkuu kumbe ukorofi wa ubarobaro umeuanza siku nyingi eeh?
Yangu mimi ni hayo kwa usiku huu.na nikutakie usiku mwema maana naona hujaoa wewe tangu ulivyomtelekeza ulozaa naeEeh na ndio nazeeka sasa..mtoto wa utotoni huyo amna aliyekubali mpaka alipotoka na sura yangu
Elimu yake ni ya darasa la piliNae huyo aliyekuzalia mtoto yuko wapi? Usikute ulimkatiza elimu yake.
Wambulu wanafaa kukimbia marathoni, kinachohitajika ni mazoezi na kujitambuaMaji mara moja unadhani hao wambulu???
kujitambua kuzuriWambulu wanafaa kukimbia marathoni, kinachohitajika ni mazoezi na kujitambua
Kuzuri kunaonekana kwa macho pia kunavutia sanakujitambua kuzuri
Uzi wa rangi nyeupe si sahihi kushonea nguo ya rangi nyeusisana kunavutia inaonyesha kiswahili kinamaneno mengi kwenye huu uzi
Mzuzu tenaa?hajasema ina sharafu mkuuInasharabu au ina mzuzu?