dosho12
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 3,704
- 9,861
Apa mshindi atapatikana kweli maana kila siku wadau wanaongezekaKuzipata n ngumu Kam kuwa mshindi apa
Apa mshindi atapatikana kweli maana kila siku wadau wanaongezekaKuzipata n ngumu Kam kuwa mshindi apa
kwema kabisa unaendeleaje ?Mambo vipi mkuu kwema
Apa mshindi atapatikana kweli maana kila siku wadau wanaongezeka
kupotea inabidi sometimes si unajua majukumu madogo madogoWanaongezeka na kupotea
KUmi ndio dalili ya mshindiMa dogo kwa sasa ni wengi kwa sababu huu mchezo una zaidi ya miaka kumi.
MShindi ndie Mimi au mmechokaKUmi ndio dalili ya mshindi
Mmechoka unasema wakati hii ligi ndo kwanza inaanzaMShindi ndie Mimi au mmechoka
Inaanza na mgogo halafu mwingine sijui naniMmechoka unasema wakati hii ligi ndo kwanza inaanza
Nani ni mgogo huyo mkuuInaanza na mgogo halafu mwingine sijui nani
Mkuu ipo Rombo KilimanjaroNani ni mgogo huyo mkuu
Dhaifu ni yule anayejifanya anajuwa kumbe hajuwiUmasikini umeletwa na serikali ya CCM dhaifu
Hajuwi kwamba reply uliyojibu niya 2012 salute San mkuuDhaifu ni yule anayejifanya anajuwa kumbe hajuwi
Mkuu inamaana sasa hivi mapumziko na likizo ni kaburini?mbona wanasindikizana sana...au ndio maandalizi ya uhuru kuiba vizuri.Hajuwi kwamba reply uliyojibu niya 2012 salute San mkuu
Nipo gudi mkuukwema kabisa unaendeleaje ?
Mkuu mshindi atapatikanaNipo gudi mkuu
Atapatikana wapi na kila mda mnajibuMkuu mshindi atapatikana
Mnajibu badala ya kuacha mimi niwe mshindi naahidi nitawapatia mgao wote mlio shirikiAtapatikana wapi na kila mda mnajibu
Mlioshiriki wote hakuna atakaeshindaMnajibu badala ya kuacha mimi niwe mshindi naahidi nitawapatia mgao wote mlio shiriki
Atakayeshinda ni mimi nawaambia mtaonaMlioshiriki wote hakuna atakaeshinda