Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Unguja nilikutana na chawa lodge nikaogopa kuvuka maji kwenda Pemba kwani komo likoje mi Nina kisogo
Kisogo tena?
Yaani iko hivi, unatakiwa umjibu mtu kwa kuanza na neno la mwisho ambalo yeye kamalizia kwenye post au comment yake, mfano saivi we nijibu kwa kuanza na neno sawa
 
Kisogo tena?
Yaani iko hivi, unatakiwa umjibu mtu kwa kuanza na neno la mwisho ambalo yeye kamalizia kwenye post au comment yake, mfano saivi we nijibu kwa kuanza na neno sawa
Sawa, nimelewa nashukurru kwa kunifahamisha mukhtadha
 
Back
Top Bottom