doro ni msanii aliewahi kufanya colabo na necha ila ni enzi hizoo university corner wanaimba t-shirt na jeansMtoto watamweza wapi wakati wao kwa wao wanamegana mpaka vitu fulani vinalala doro
Jeans ni moja ya nguo inayopendwa na kuvaliwa sana na vijanadoro ni msanii aliewahi kufanya colabo na necha ila ni enzi hizoo university corner wanaimba t-shirt na jeans
Maarifa ya jamii bado linafundishwa shule za msingi au limefutwa?Vijana wanaangamia kwa kukosa maarifa
Maarifa ya jamii bado linafundishwa shule za msingi au limefutwa?
Kuzisikia hata mimi sijazisikia kiukweli. Nlikua nauliza tu mkuuLimefutwa lini ? Mbona hizo taarifa hatujawahi kuzisikia
Kuzisikia hata mimi sijazisikia kiukweli. Nlikua nauliza tu mkuu
Hawajambo kweli yani, sijui hata ni lini viongozi wetu watakuja kubadilika na kua watu wa ku-reason zaidiMkuu ni muhimu kuuliza maana viongozi wetu kwa kukurupuka hawajambo
Hawajambo kweli yani, sijui hata ni lini viongozi wetu watakuja kubadilika na kua watu wa ku-reason zaidi
Mwisho mzuri mara nyingi huwa unajengwa na mwanzo mzuri, tusitegemee kufika mbali kimaendeleo hapo baadae ilihali viongozi wetu hawajengi misingi mizuri tangu sasaZaidi ya yote reasoning ability Yao huenda ikawa ipo mwisho
Mwisho mzuri mara nyingi huwa unajengwa na mwanzo mzuri, tusitegemee kufika mbali kimaendeleo hapo baadae ilihali viongozi wetu hawajengi misingi mizuri tangu sasa
Watakusoma na wewe pia mkuu, maana ulikua ukijenga hoja za msingi sanaSasa hapo umenena, natumai viongozi wetu wa kushtua watakusoma
sana au ni sana'a hili jina silikumbuki vizuri ila mji huu upo nchi ya YemeniWatakusoma na wewe pia mkuu, maana ulikua ukijenga hoja za msingi sana
Yemeni fedha zao zipo juu sana inaweza ikawa mara elfu nne ukilinganisha na hizi zetu za madafu.sana au ni sana'a hili jina silikumbuki vizuri ila mji huu upo nchi ya Yemeni
Madafu houngeza nguvu za kiumeYemeni fedha zao zipo juu sana inaweza ikawa mara elfu nne ukilinganisha na hizi zetu za madafu.
Kiume ni kujikaza hata pale mtu unapokabiliana na wakati mgumuMadafu houngeza nguvu za kiume
Mgumu duuh, waswahili wanasema hakuna mkate mgumu kwenye chaiKiume ni kujikaza hata pale mtu unapokabiliana na wakati mgumu
Chai ya maziwa ndio ninaipenda kunywa niwapo mchovuMgumu duuh, waswahili wanasema hakuna mkate mgumu kwenye chai
Mchovu hasa akiwa wa kiume hata awe amechoka vipi akipigiwa simu ya kwenda kupewa papuchi anachangamka haraka sanaChai ya maziwa ndio ninaipenda kunywa niwapo mchovu