lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,200
- 28,082
Mafisadi kina Vasco na rafiki zake wamelifilisi taifa..shida tanzania zipo ila wananchi wameridhika nazo, wanawachagua na wanawashangilia viongozi mafisadi
Mafisadi kina Vasco na rafiki zake wamelifilisi taifa..shida tanzania zipo ila wananchi wameridhika nazo, wanawachagua na wanawashangilia viongozi mafisadi
Taifa star ni jipuMafisadi kina Vasco na rafiki zake wamelifilisi taifa..
Jipu litatumbuliwa ili kina gigy wabaki wakituwakilisha kimataifa!!Taifa star ni jipu
Michezo ni kitu kinachopendwa na wengiKimataifa, biashara na michezo..
Michezo tunaipenda, lakini huu uzi ni zaidi ya michezoKimataifa, biashara na michezo..
Michezo ni kitu kinachopendwa na wengi
Vyao ni vyao, vyetu ni vyetuwape wapeee vidonge vyao
vyetu hatutengenezi tumekomaa kununua bidhaa fake za china uchizi huu yaan watu wananunua hadi makalioVyao ni vyao, vyetu ni vyetu
Makalio makubwa ndo yamekua kama fashion siku hizi, dada zetu wengine wanakataa walivyoumbwa matokeo yake wanatumia dawa za kichina kama ulivyotangulia kusema hapo juuvyetu hatutengenezi tumekomaa kununua bidhaa fake za china uchizi huu yaan watu wananunua hadi makalio
juu ya yote haya mi naona suluhisho kama alivyosema magu tukomae kuanzisha viwanda ili tusiwe shamba la bibiMakalio makubwa ndo yamekua kama fashion siku hizi, dada zetu wengine wanakataa walivyoumbwa matokeo yake wanatumia dawa za kichina kama ulivyotangulia kusema hapo juu
Bibi na babu zetu waliishi maisha mazuri sana wakati huo na hakukua na mambo ya kijinga kama ilivyo sasa. wakati huo kulikua pia na viwanda japo vidogo ambavyo vilisaidia kwa namna moja au nyingine. Cha kushangaza vyote vilikufa na vingine kubinafsishwa. Viwanda ilikua ni moja ya sera ya magufuli, ngoja tuone kama kweli kutakua na mabadilikojuu ya yote haya mi naona suluhisho kama alivyosema magu tukomae kuanzisha viwanda ili tusiwe shamba la bibi
Bibi na babu zetu waliishi maisha mazuri sana wakati huo na hakukua na mambo ya kijinga kama ilivyo sasa. wakati huo kulikua pia na viwanda japo vidogo ambavyo vilisaidia kwa namna moja au nyingine. Cha kushangaza vyote vilikufa na vingine kubinafsishwa. Viwanda ilikua ni moja ya sera ya magufuli, ngoja tuone kama kweli kutakua na mabadiliko
Mabadiliko yatokee wapi wakati ccm ni ileile😀😀
ileile kweli lakini angalau kuna tumaini flani hivi kutokana na spidi aliyoanza nayo magufuliJamani hauko peke ako, hata mi kaniweza sana yani ingawa nlikua team lowassamagufuli kaniweza jamani