Walewale tu ni majizi na mafisadi.
biblia yenyewe imesema, ya kaisali mpe kaisali.Mafisadi si watu wazuri wametajwa mpaka kwenye biblia
biblia yenyewe imesema, ya kaisali mpe kaisali.
Kaisali ama kaisari?
Kaisari ndio sahihi
Sahihi lilikua jina la mwalimu wangu shule ya msingi
Msingi aliokupa Mwalimu Sahihi ktk masomo ulikuwa bora
Bora yake elimu imenifikisha nilipo leo.
Leo ndo Rais Magufuli kaingia rasmi...
Rasmi kaanza kazi kama raisi wa awamu ya tano
tano ndio idadi ya miaka atakayoitumikia kwa awamu ya kwanza ya urais
Nini kinaendelea hapa?
Hapa ni kazi tu kama ilivyo kaulimbiu ya prezdaa Magufuli...