kutunia ndiyo nini? hueleweki kama vile zilivyo sera za chama cha wenye vitambi na wapiga pushapu.wanavtaka sababu uji kutunia
kutunia ndiyo nini? hueleweki kama vile zilivyo sera za chama cha wenye vitambi na wapiga pushapu.wanavtaka sababu uji kutunia
Pushapu limekuwa tatizo na vipi yule mwanamuziki?
Mwanamuziki nimpendae bongo ni Diamond
Mawazo huwa nayo mtu mwenye mali nyingi ila maskini hana mawazo kwani hana hofu na kitu chochote.
Chochote nitafanya kulilinda penzi letu
Letu lililoingiliwa na watu wabaya
Wabaya na wenye husda tusiwape nafasi mpenzi
Kilimanjaro noma! Tumewagaragaza