Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Watz wanahitaji mabadiliko..Mimi nahitaji mabadiliko,Ila sina imani na Lowasa
 
Wajukuu wenyewe kama wewe mnataka mmalizie twiga na tembo wetu waliosalia
 
Akili za kizee ndio zilizowaondoa CCM kingubge,lowasa,sumaye na mwapachu eti mabadiliko??! Baada ya kuona fisadi papa mwenzao kakatwa ndio wanajisogeza ili wajiwekee mazingira mazuri. Yaani kwa ufupi UKAWA mshafeli kabla ya mtihani
 
Rais wa wapi??! Lowasa hawi rais mtu mgonjwa kila kiungo?
 
Akili za kizee ndio zilizowaondoa CCM kingubge,lowasa,sumaye na mwapachu eti mabadiliko??! Baada ya kuona fisadi papa mwenzao kakatwa ndio wanajisogeza ili wajiwekee mazingira mazuri. Yaani kwa ufupi UKAWA mshafeli kabla ya mtihani

Hii ni sentensi au insha sio mahara pake
 
Back
Top Bottom