Vile unavyouliza maswali ya rhetoric, kwa kweli mimi sijui Mmanu
Mmanu kumwelewa inahitaji utulivu kiasi
Tuu! Ungejibu swali lake kwanza sio kuleta yasiyokuwepo
Nilichouliza mimi juzi ni kwanini kama Lowassa anahusika na Richmond asifunguliwe mashtaka?
Mafisadi papa waneenguliwa tu, wanaenda na magamba yaoKabla walikula pamoja alipotoroka tu wakamwita fisadi!
yao?..mliemkataa ndo anachukua nchi
Yao na familia zao na kujazi vitambi vyao!