Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,348
- 3,309
Huo wimbo ukiuskiliza unasaidia kuondoa StressMrejesho ni kwamba sijaupenda huo wimbo
Huo wimbo ukiuskiliza unasaidia kuondoa StressMrejesho ni kwamba sijaupenda huo wimbo
kawaida sana nimekubali maneno yako chief maana ameshaleta mrejeshoMrejesho atakaoleta ni "Nyimbo nzuri but ya kawaida sana"
HATIA III nimeupenda, una ujumbe murua kabisa achana na akina Maua Sama kutwa kucha ni mapenziHajasikilia kwa sababu hajaipata, je, umesikia mzigo mpya toka kwa Dizasta vina uitwao HATIA III
Stress zako ni ndogo kweli yaani zinaondolewa na wimbo kama huoHuo wimbo ukiuskiliza unasaidia kuondoa Stress
Mrejesho wangu wa HATIA III umeuona?kawaida sana nimekubali maneno yako chief maana ameshaleta mrejesho
Huo mchezo wa wanawake kuchukiana mtaacha liniStress zako ni ndogo kweli yaani zinaondolewa na wimbo kama huo
Mtaacha lini? Mimi sina chuki nae ila huu wimbo wake hauna jipya wala mashairi ya kuukuna mtima wanguHuo mchezo wa wanawake kuchukiana mtaacha lini
Mtima wako haujakunwa na ule ubeti unasema "" beibiiii nikikwona nashikwa na hajaa"'Mtaacha lini? Mimi sina chuki nae ila huu wimbo wake hauna jipya wala mashairi ya kuukuna mtima wangu
Haja tu ndo iukune mtima wangu? Hapana napenda wimbo wake wa MAHABA NIUEMtima wako haujakunwa na ule ubeti unasema "" beibiiii nikikwona nashikwa na hajaa"'
Mahaba niue nao ni wimbo mzuri sanaHaja tu ndo iukune mtima wangu? Hapana napenda wimbo wake wa MAHABA NIUE
Mzuri sana unanikumbusha enzi za kupendwa kwanguMahaba niue nao ni wimbo mzuri sana

Enzi za kupendwa kwako? Kwani sasa ulienae hakupendiMzuri sana unanikumbusha enzi za kupendwa kwangu![]()
Hakupendi kwasababu ulimsalitiEnzi za kupendwa kwako? Kwani sasa ulienae hakupendi
Kwa sababu ulimsaliti ndio mana amekutenda hivo... Aisee pole sana RafikiHakupendi kwasababu ulimsaliti
Rafiki sijawahi kumsaliti mtu, nilikuwa napangilia tu vina vya uzi huuKwa sababu ulimsaliti ndio mana amekutenda hivo... Aisee pole sana Rafiki
Vina vya Uzi huu sometimes ni vigumu mpaka kichwa kinapata motoRafiki sijawahi kumsaliti mtu, nilikuwa napangilia tu vina vya uzi huu
Street fighter... Channel
Vina vya Uzi huu sometimes ni vigumu mpaka kichwa kinapata moto


Kinapata moto kwelikweli, ndio maana wengi wanashingwa kwenda kwa hoja badala yake wanajiandikia chochote