fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,256
- 3,889
simba ni timu ambayo mashabiki wake hawajui mpiraMbao moja kuiangukia simba haiumi kuliko chura kumng'ata simba
simba ni timu ambayo mashabiki wake hawajui mpiraMbao moja kuiangukia simba haiumi kuliko chura kumng'ata simba
Mpira ni mipangosimba ni timu ambayo mashabiki wake hawajui mpira
mipango ya kukwepa kodiMpira ni mipango
Kukwepa kodi siyo moja ya mipango ya klabu ya simba mipango ya simba ni kutwaa kila ubingwa ulio mbele yakemipango ya kukwepa kodi
mbele yake Kaburu jela inamwita na Hans pope ametokomeaKukwepa kodi siyo moja ya mipango ya klabu ya simba mipango ya simba ni kutwaa kila ubingwa ulio mbele yake
Ametokomea kusiko julikana akijua hataonekana tenambele yake Kaburu jela inamwita na Hans pope ametokomea
Tena jamaa ni mnyalu wa iringa atakua mchawiAmetokomea kusiko julikana akijua hataonekana tena
Mchawi namba moja ni mbowe na chademaTena jamaa ni mnyalu wa iringa atakua mchawi
chadema ni chama cha maendeleo na demokrasiaMchawi namba moja ni mbowe na chadema
Demokrasia ya ukwel ipo ndani ya chademachadema ni chama cha maendeleo na demokrasia
Afadhali hata kumbe mpo mnaoitaja Mbao kwa usahihi.Mbao moja kuiangukia simba haiumi kuliko chura kumng'ata simba
Kwakuwa niwavuta bangi kama ulivyosema siyo shida kwao kutamka walivyo tamka ni bangi ndiyo iliyowatumaAfadhali hata kumbe mpo mnaoitaja Mbao kwa usahihi.
Juzi nilikuwa naangalia mpira kwenye baa moja, wakaja Wavuta bangi fulani wakawa wanaitaja hiyo Mbao kwa kuiacha ile 'a' na kuongeza 'o' nyingine.
Kero zaidi ni jinsi walivyokuwa wanapiga kelele kwamba hao Mbao (lakini kwa wanavyoitaja wao) waingieni hao Simba.
Alafu bado kuna Watu wana support kuruhusiwa kwa bangi kule South.

🚶🚶🚶Naondoka zangu maana naona watu wanacheza faulo kwenye mchezo huu!Kwakuwa niwavuta bangi kama ulivyosema siyo shida kwao kutamka walivyo tamka ni bangi ndiyo iliyowatuma![]()
![]()
![]()
nílαlє kíѕα mchєzσ umєwαѕhíndα nínчíHuu usiku sio mchezo acha nilale
ninyi ni watu gani msiochangia rambirambi ktk tukio la MV nyererenílαlє kíѕα mchєzσ umєwαѕhíndα nínчí
Mv Nyerere sichangii maana rambirambi yangu ya tetemeko la Kagera ililiwa na serikali badala ya kuwafikia wahanganinyi ni watu gani msiochangia rambirambi ktk tukio la MV nyerere

wahanga wamepewa laki tano kila mmoja kutoka kwa JiweMv Nyerere sichangii maana rambirambi yangu ya tetemeko la Kagera ililiwa na serikali badala ya kuwafikia wahanga![]()
Jiwe imara linaloponda kila aina ya wanasiasa wapumbavu kama chademawahanga wamepewa laki tano kila mmoja kutoka kwa Jiwe
Chadema ni chama kilichohusika kuzama kwa Mv nyerere?Jiwe imara linaloponda kila aina ya wanasiasa wapumbavu kama chadema