Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,113
- 122,508
Awamu ijayo sijui kama nitampa kura yanguViwanda ili viwepo Tanzania labda awamu ijayo
Awamu ijayo sijui kama nitampa kura yanguViwanda ili viwepo Tanzania labda awamu ijayo
Yangu maana haikuwa mbaya daderi wangu emmyta, na mkuu Arlen. Kugalagala ni mithili ya kuviringika/biringika(kadri ya rahaja) ardhini, aidha kwa uchungu(kilio kikuu) au shangwe(furaha upeo).Awamu ijayo sijui kama nitampa kura yangu
Uzi huu kweli burudani. Shukrani mkuu kwa maelezo yako yaliotukukaYangu maana haikuwa mbaya daderi wangu emmyta, na mkuu Arlen. Kugalagala ni mithili ya kuviringika/biringika(kadri ya rahaja) ardhini, aidha kwa uchungu(kilio kikuu) au shangwe(furaha upeo).
Ila kwenye tungo yangu nilimaanisha daderi emmy ni mpenzi wa uzi huu, hivyo huwezi mkosa humu ndani, emmyta hugalagala na uzi huu.
baba anakuwaga na roho ngumu hasa kwa mtoto wake wa kiume.hicho kizuri nala na ndugu zangu wa ukweli tu yaani mama na baba
yaliotukuka ni maandiko matakatifu tuuUzi huu kweli burudani. Shukrani mkuu kwa maelezo yako yaliotukuka
Matakatifu tu? Kwani nini maana yake?yaliotukuka ni maandiko matakatifu tuu
Wa kiume bado ndo tegemeo zaidibaba anakuwaga na roho ngumu hasa kwa mtoto wake wa kiume.
Zaidi hasa kwa jamii za wafugaji.Wa kiume bado ndo tegemeo zaidi
Wafugaji ni wamasai na kabila poripori kuliko yote wasukumaZaidi hasa kwa jamii za wafugaji.
Wasukuma wametupatia RC bashiteWafugaji ni wamasai na kabila poripori kuliko yote wasukuma

Moja moja ndi mpango...!!Zero nayo namba kabla ya moja
Mpango ni Waziri wa Fedha katika Serikali JMTMoja moja ndi mpango...!!
JMT ndio Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ama?Mpango ni Waziri wa Fedha katika Serikali JMT