Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Kwa haraka naona mazungumzo yenu yanahusu mambo ya kifamilia zaidi angali nyie bado hamjawa wazaziHivyo bbc ndio kusema kuna ambavyo sivielewi kwa haraka.
Kwa haraka naona mazungumzo yenu yanahusu mambo ya kifamilia zaidi angali nyie bado hamjawa wazaziHivyo bbc ndio kusema kuna ambavyo sivielewi kwa haraka.
Wazazi siku zote ni wawili pekeeKwa haraka naona mazungumzo yenu yanahusu mambo ya kifamilia zaidi angali nyie bado hamjawa wazazi
Wawili pekee wanaweza wasiwe wazaziWazazi siku zote ni wawili pekee
Wazazi ni wangapi naomba nirekebishe basi ila mi nasemea wale wanaosababisha mtoto akapatikana ni lazima wawe wawili.Wawili pekee wanaweza wasiwe wazazi
Lazima wawe wawili japo kuna aliyezaliwa na mzazi mmojaWazazi ni wangapi naomba nirekebishe basi ila mi nasemea wale wanaosababisha mtoto akapatikana ni lazima wawe wawili.
Mzazi mmoja? sawa nimekuelewa sasaLazima wawe wawili japo kuna aliyezaliwa na mzazi mmoja
Sasa mimi nataka unielewe zaidi ya hapaMzazi mmoja? sawa nimekuelewa sasa
Tena mbali na hili jukwaaZaidi ya hapa tena.![]()
![]()
![]()
Jukwaa pendwa kuliko yote humu jamii forum wanadai ni la Mapenzi, mahusiano na urafikiTena mbali na hili jukwaa
Urafiki au mapenzi kati ya mtu na mtu kuna ubaya gani sasa wanataka tuwe maaduiJukwaa pendwa kuliko yote humu jamii forum wanadai ni la Mapenzi, mahusiano na urafiki


Ni ujinga na umasikiniMaadui wetu toka enzi na enzi ni ?
[color=]Umaskini huu wa kwetu ni wa kujitakia tu, bado hujala![/color]Ni ujinga na umasikini
Umaskini huu wa kwetu ni wa kujitakia, bado hujalala!Ni ujinga na umasikini
Bado hujalala bbc au we ndio mpaka siku igeuke. Umeshaniona kuku lol. Bado kidogo.Umaskini huu wa kwetu ni wa kujitakia, bado hujalala!
Kidogo nistuke kwamba hutalala, kumbe wasema bado kidogo kulala! Mi bado mpaka nisikilize taarifa za hapa kwetu, BBC nk.Bado hujalala bbc au we ndio mpaka siku igeuke. Umeshaniona kuku lol. Bado kidogo.
Nk nilistaajabu sana baada ya kugundua kuwa niliyemfuata hakuwa mwenyewe, moyo ulisononeka sana, nilijawa na hofu kiasi kwa nilishindwa nifanyeje, lakini mawazo yalinijia kichwani na nikaamua kuachanana naye kwani haikuwa riziki yanguKidogo nistuke kwamba hutalala, kumbe wasema bado kidogo kulala! Mi bado mpaka nisikilize taarifa za hapa kwetu, BBC nk.
Nk nilistaajabu sana baada ya kugundua kuwa niliyemfuata hakuwa mwenyewe, moyo ulisononeka sana, nilijawa na hofu kiasi kwa nilishindwa nifanyeje, lakini mawazo yalinijia kichwani na nikaamua kuachanana naye kwani haikuwa riziki yangu