bbc
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 3,836
- 4,152
Mzima mie emmy wewe vipi? Nashukuru kwa kujali. Unawahi kulala na kuamka pia, safi sana. Kila la kheri katika kutafuta riziki, tuwasiliane baadaye.Mihangaiko ndo tunaianza upya bbc. Mzima?
Mzima mie emmy wewe vipi? Nashukuru kwa kujali. Unawahi kulala na kuamka pia, safi sana. Kila la kheri katika kutafuta riziki, tuwasiliane baadaye.Mihangaiko ndo tunaianza upya bbc. Mzima?
Baadae bbc. Hivi watu wamo humu kweli.Mzima mie emmy wewe vipi? Nashukuru kwa kujali. Unawahi kulala na kuamka pia, safi sana. Kila la kheri katika kutafuta riziki, tuwasiliane baadaye.
Kweli nimekumiss sana mamitoBaadae bbc. Hivi watu wamo humu kweli.
Mamito hata mie pia nimekumiss. Mana tangu kwenye uzi wa vocha ya buku hatujaonana tena. Mzima?Kweli nimekumiss sana mamito
Mzima kabisa. I missed you babyMamito hata mie pia nimekimiss. Mana tangu kwenye uzi wa vocha ya buku hatujaonana tena. Mzima?

Vocha ya buku tu ilimtoa mapovu ya kutosha.Mzima kabisa. I missed you baby![]()
Umenikumbusha mzee wa vocha ya buku![]()
![]()
![]()
Mapovu ya kutosha yanahitajika ktk ufuaji wa nguo.Vocha ya buku tu ilimtoa mapovu ya kutosha.
Nguo ninazo ila hazijawahi kunitosha. Mzima?Mapovu ya kutosha yanahitajika ktk ufuaji wa nguo.
Mzima moto uliotokea kwenye soko kidogo na yeye aungue!Nguo ninazo ila hazijawahi kunitosha. Mzima?
Aungue mzima moto tena. Ulimuona bbc au unatupiga kamba.Mzima moto uliotokea kwenye soko kidogo na yeye aungue!
Mzima wa afya kabisa sijui wewe, hukoNguo ninazo ila hazijawahi kunitosha. Mzima?
Huko uliko.dingimtoto nishawahi kufika ila sijui kwa nini sikufanikiwa kukuonaMzima wa afya kabisa sijui wewe, huko
Huko kwenye moto sikuwepo kabisaa bbc...mi mzima kabisa sijui nyinyiMzima wa afya kabisa sijui wewe, huko
Kamba za katani zimepungua sana matumizi yake siyo kama wakati wa Mwl NyerereAungue mzima moto tena. Ulimuona bbc au unatupiga kamba.
Nyinyi nyote mnahitajika mpate moja moto na baridi ntalipiaHuko kwenye moto sikuwepo kabisaa bbc...mi mzima kabisa sijui nyinyi
Mwl. Nyerere ndio baba wa taifa. James Comey sisi hatujambo tupo ila umetusua sijui kwa nini?Kamba za katani zimepungua sana matumizi yake siyo kama wakati wa Mwl Nyerere
Nyinyi nyote mnahitajika mpate moja moto na baridi ntalipia
fuateni utaratibu wa mchezo wanduguKamba za katani zimepungua sana matumizi yake siyo kama wakati wa Mwl Nyerere
Sijui kwa nini unasema hivyo Mbona huwa na visit huu uzi sana tu ila wakati mwingine muda unabana kidogo ndugu.Mwl. Nyerere ndio baba wa taifa. James Comey sisi hatujambo tupo ila umetusua sijui kwa nini?
Ndugu huwa sikuoni ujue ila kichwa kinawaza mengi ndio maana. Ila usijali kwema huko.Sijui kwa nini unasema hivyo Mbona huwa na visit huu uzi sana tu ila wakati mwingine muda unabana kidogo ndugu.
Ndugu mtanzania mwenzangu hivi unajivunia kuwa mtanzania?Sijui kwa nini unasema hivyo Mbona huwa na visit huu uzi sana tu ila wakati mwingine muda unabana kidogo ndugu.