Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Nakusalimia nami pia daderi wangu emmy. Mimi nipo job nasukuma siku huku namangamanga na kubung'aza macho mtaani kwetu, zaidi kwenye hiki kijiwe chetu pendwa...
Kijiwe chetu pendwa mi ndio naongoza kwa kutokauka humu.
 
Kupinga na kupingua ni mchezo tuliecheza sana utotoni. Aghalabu, kuunga/kuanzisha urafiki; au kukata/kumaliza urafiki.
Kumaliza urafiki Ulikuwa mchezo mmoja ulioumiza nafsi mnoo.... Kuna mchezo Ulikuwa waitwa bomoa.... Ukikutwa umeinama unapata teke moja la kukubomoa
 
Kumaliza urafiki Ulikuwa mchezo mmoja ulioumiza nafsi mnoo.... Kuna mchezo Ulikuwa waitwa bomoa.... Ukikutwa umeinama unapata teke moja la kukubomoa
Kukubomoa....!!!hahaha kuna siku nilikuwa naunga ndala iliyokatika, nikala shuti la ukweli. Kilichonisaidia ni mtu wa sarakasi nikapona kulamba mchanga.
 
Kukubomoa....!!!hahaha kuna siku nilikuwa naunga ndala iliyokatika, nikala shuti la ukweli. Kilichonisaidia ni mtu wa sarakasi nikapona kulamba mchanga.
Mchanga uliulamba bana, ogopa teke la surprise mkuu
 
Back
Top Bottom