Gordita
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 11,579
- 55,632
Kidogo kidogo tutaweza tuAisee hamukawezi hata kidogo
Kidogo kidogo tutaweza tuAisee hamukawezi hata kidogo
Tukiamua kwa kila mmoja wetuKidogo kidogo tutaweza tu
Wetu pamoja na Mkulu!Tukiamua kwa kila mmoja wetu
Mkulu amekuwa mbabe mno kwa wananchiWetu pamoja na Mkulu!
Wananchi wa Kenya, miongoni ni kabila la WakikuyuMkulu amekuwa mbabe mno kwa wananchi
Wakikuyu ndo wapi hao?Wananchi wa Kenya, miongoni ni kabila la Wakikuyu
Hao ni wezi tu, pamoja na wewe
Wewe avator yako inatisha kweli bora ungeweka ya huyu mhengaHao ni wezi tu, pamoja na wewe
Mhenga kutoka kabila la wakikuyu.Wewe avator yako inatisha kweli bora ungeweka ya huyu mhengaView attachment 555794
Wakikuyu wanapatikana wapi.Mhenga kutoka kabila la wakikuyu.
Wapo wanauza usingizi, leo sijalalaWakikuyu wanapatikana wapi.
Leo sijalala sana hata sijui kwa nini. Kulikoni tena hadi hujalala leo.Wapo wanauza usingizi, leo sijalala
Jamii Forums mobile app
Leo mm nimelala usingizi mtamu. Alibakari njoo nikuuzie usingiziLeo sijalala sana hata sijui kwa nini. Kulikoni tena hadi hujalala leo.
Usingizi mnono ni ule wa moja kwa mojaLeo mm nimelala usingizi mtamu. Alibakari njoo nikuuzie usingizi
Moja kwa moja tuingie kwenye mada, kwa nn hunipigii cm sku iz? Au uko bze na mgonjwa?Usingizi mnono ni ule wa moja kwa moja
Mgonjwa wangu wala sio sababu. Nitakupigia baadae panapo majaliwa. Ila huwa hujibu msg zangu.Moja kwa moja tuingie kwenye mada, kwa nn hunipigii cm sku iz? Au uko bze na mgonjwa?
Zangu akili zishachoka, me dada sku iz nakaa mbl na cm inaniumiza macho na maskio.Mgonjwa wangu wala sio sababu. Nitakupigia baadae panapo majaliwa. Ila huwa hujibu msg zangu.
Masikio bado hayajapona kumbe. Pole sana mdogo wanguZangu akili zishachoka, me dada sku iz nakaa mbl na cm inaniumiza macho na maskio.