dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Bado, upo miss emmyta kwema huko ulipo?Nzima simu yangu haijawahi nisumbua bado
Bado, upo miss emmyta kwema huko ulipo?Nzima simu yangu haijawahi nisumbua bado
Pa kwenda ni kwako tu hakuna kwingine
Kwenda wapi? mimi sio bongo bahati mbaya
Kwenda nitaenda hata mimi. Dingimtoto mi sijambo bukheri wa afya.
Afya njema ndo uzima wetu hongera kuwa mzima kiafyaKwenda nitaenda hata mimi. Dingimtoto mi sijambo bukheri wa afya.
Kiafya Ni Vizuri Kula Chakula KigumuAfya njema ndo uzima wetu hongera kuwa mzima kiafya
Kigumu sana kinasababisha tumbo kuuma
Kuuma kwa meno ni Dalili za UzeeKigumu sana kinasababisha tumbo kuuma
Uzee hauna mwenyewe
Pipi Nitamu Kama Itanyonywa Na Cc: RubhiiMshindi wa hii mada ntamnunulia pipi
Kunyonya maziwa ya mama kwa mtoto mchanga kiafya ni bora zaidi
Zaidi ya yote nimewamiss sana humu ndani, salama lkn?Kunyonya maziwa ya mama kwa mtoto mchanga kiafya ni bora zaidi
Lakini sio vizuri ujue, ndio nini jana ukaniacha hewani kule whatsappuni. Mi sijambo kabisa mdogo wangu kwema?Zaidi ya yote nimewamiss sana humu ndani, salama lkn?
Kwema Sema unauchuna sana sikuhizi sijajua tatizo niniLakini sio vizuri ujue, ndio nini jana ukaniacha hewani kule whatsappuni. Mi sijambo kabisa mdogo wangu kwema?
Uko poa weye. Nisamehe shoga angu kuna siku mbili tatu mambo yalikuwa yamebana kidogo ila sijambo sijui wewe.Kwema Sema unauchuna sana sikuhizi sijajua tatizo nini![]()
By the way uko poa?