Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,110
- 122,499
Emmyta naye hajambo anafurahi kukuona tena karibu.
Emmyta naye hajambo anafurahi kukuona tena karibu.
Maisha ya siku hizi kila kitu pesa mbele
You get what you work for not What you wish for 
Mbele kama mfuko wa shatiMaisha ya siku hizi kila kitu pesa mbele
You get what you work for not What you wish for
![]()
Shati za tomato tumezivaa sana primary na sekondari hivi bado zipo??Mbele kama mfuko wa shati
Zipo bado. Ila umenikumbusha mbali sanaShati za tomato tumezivaa sana primary na sekondari hivi bado zipo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana! Kwenye miaka ipi hasa?Zipo bado. Ila umenikumbusha mbali sana
Hasa miaka ya 2016Sana! Kwenye miaka ipi hasa?
Wameachia mwisho tukawapiga 7 zero![]()
?
![]()
![]()
TMk- bila tatu...wamebana wameachia.
Zero nfiyo sifuri au...!Wameachia mwisho tukawapiga 7 zero
! Ni alama ya kushangaa. Kama ebo!Zero nfiyo sifuri au...!
Zero ya Fa Fa Fa au ipi unasemeaWameachia mwisho tukawapiga 7 zero
Ebo! Umeirudia tena! Ni alama ya kushangaa. Kama ebo!
ebo!!! Nani kasema harakati za pimbi hazikuzaa matunda.! Ni alama ya kushangaa. Kama ebo!