Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Sasa kama imekutokea wewe utafanyaje
Kama imekutokea wewe sijui utafanyaje lakini wengine wanakubali matokeo tu na kuomba msaada kwa raia. Hii imenitokea jana. Nilienda kumpokea mgeni usku saa tano Ubungo.

Nilibadili suruali kilichoniokoa ni buku tano iliyokuwepo ktk suruali niliyo vaa baada ya kuvua ile nyingine.

Mwanzoni nilidhani mimeibiwa lakini nilkuja kugundua kuwa ipo ktk suruali niliyoibadili.
 
Kama imekutokea wewe sijui utafanyaje lakini wengine wanakubali matokeo tu na kuomba msaada kwa raia. Hii imenitokea jana. Nilienda kumpokea mgeni usku saa tano Ubungo.

Nilibadili suruali kilichoniokoa ni buku tano iliyokuwepo ktk suruali niliyo vaa baada ya kuvua ile nyingine.

Mwanzoni nilidhani mimeibiwa lakini nilkuja kugundua kuwa ipo ktk suruali niliyoibadili.

Niliyoibadili haitofautiani na ile. Pole sana james kwa yaliyokukuta
 
Back
Top Bottom