Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,096
- 122,459
Ndani ya jf kuna vituko vya kila ainaJambo litakalokufanya uishi kwa furaha kiasi ni kuiishi vema sauti yako ya ndani.
Ndani ya jf kuna vituko vya kila ainaJambo litakalokufanya uishi kwa furaha kiasi ni kuiishi vema sauti yako ya ndani.
Kila aina ya kituko inapatikana kitaani kwetuNdani ya jf kuna vituko vya kila aina
Kwetu kitaani pia kuna vituko hatariKila aina ya kituko inapatikana kitaani kwetu
Hatari ni pale unapowahi siti kwenye basi halaf wakati wa nauli unakumbuka waleti imo kwenye suruali uliyovua..Kwetu kitaani pia kuna vituko hatari
Uliyovua sio uliyoivaa hapo ndio unakuwa mtihani sasaHatari ni pale unapowahi siti kwenye basi halaf wakati wa nauli unakumbuka waleti imo kwenye suruali uliyovua..
Sasa kama imekutokea wewe utafanyajeUliyovua sio uliyoivaa hapo ndio unakuwa mtihani sasa
Wewe utafanyaje kelvin? mi nitamuomba samahani na kumuelewesha hali halisi na kama hatanielewa nitaongea na mtu anitumie pesa kwenye simu kisha nitaitowa na kumlipa nauli yake.Sasa kama imekutokea wewe utafanyaje
Wewe utafanyaje kelvin? mi nitamuomba samahani na kumuelewesha hali halisi na kama hatanielewa nitaongea na mtu anitumie pesa kwenye simu kisha nitaitowa na kumlipa nauli yake.
Nauli yake unaweza ukalipa endapo utatumiwa je usipotumiwa na asipokubali kukusameheWewe utafanyaje kelvin? mi nitamuomba samahani na kumuelewesha hali halisi na kama hatanielewa nitaongea na mtu anitumie pesa kwenye simu kisha nitaitowa na kumlipa nauli yake.
Asipokubali kukusamehe atakuwa naye sio binadamu wa kawaida. Yaani 400 tu ndio asinisamehe.Nauli yake unaweza ukalipa endapo utatumiwa je usipotumiwa na asipokubali kukusamehe
Kama imekutokea wewe sijui utafanyaje lakini wengine wanakubali matokeo tu na kuomba msaada kwa raia. Hii imenitokea jana. Nilienda kumpokea mgeni usku saa tano Ubungo.Sasa kama imekutokea wewe utafanyaje
Kama imekutokea wewe sijui utafanyaje lakini wengine wanakubali matokeo tu na kuomba msaada kwa raia. Hii imenitokea jana. Nilienda kumpokea mgeni usku saa tano Ubungo.
Nilibadili suruali kilichoniokoa ni buku tano iliyokuwepo ktk suruali niliyo vaa baada ya kuvua ile nyingine.
Mwanzoni nilidhani mimeibiwa lakini nilkuja kugundua kuwa ipo ktk suruali niliyoibadili.
Yaliyokukuta ni hayo tu au kuna mengine unaweza kutuelezeaNiliyoibadili haitofautiani na ile. Pole sana james kwa yaliyokukuta
Elezea na wewe basi au hayajawai kukukutaYaliyokukuta ni hayo tu au kuna mengine unaweza kutuelezea
Kukukuta kila mmoja wetu yamemkuta ila kuja hadharani kuungama hilo gumuElezea na wewe basi au hayajawai kukukuta
Gumu ndiyo nini wazee. Yaani unaingia JF hakuna uzi wa kuchangia aheri nije kwenye mchezoKukukuta kila mmoja wetu yamemkuta ila kuja hadharani kuungama hilo gumu
Kwenye mchezo gani ,hata wewe unaweza kuanzisha uzi tukachangiaGumu ndiyo nini wazee. Yaani unaingia JF hakuna uzi wa kuchangia aheri nije kwenye mchezo
Mchezo huu hauihitaji hasiraGumu ndiyo nini wazee. Yaani unaingia JF hakuna uzi wa kuchangia aheri nije kwenye mchezo
Tukachangia kisha tukawapa hongera lakini mwisho wa siku waligombanaKwenye mchezo gani ,hata wewe unaweza kuanzisha uzi tukachangia
Waligombana kwa sababu walichokitarajia sicho walichokikuta ndaniTukachangia kisha tukawapa hongera lakini mwisho wa siku waligombana