Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Kwa morombo.....umejuaje! Nmejaribu kuwaza tuu baada ya siku ile ulipoongelea kwa morombo
. Hahaaaa. Kumbe husahau aisee. Basi karibia siku moja ukapate nyama choma.Kwa morombo.....umejuaje! Nmejaribu kuwaza tuu baada ya siku ile ulipoongelea kwa morombo
. Hahaaaa. Kumbe husahau aisee. Basi karibia siku moja ukapate nyama choma.Nyama choma sema huwa sifagilii saaaana. Ila kwa mualiko wako nitajaribuKwa morombo![]()
![]()
. Hahaaaa. Kumbe husahau aisee. Basi karibia siku moja ukapate nyama choma.
Nafagilia samaki hata mimi ila kubadilisha mara moja moja sio mbayaSasa, na huko nyuma nilikuwa, na huwa nafagilia samaki.
Sio mbaya kweli ila mimi na nyama kwa ujumla wake, sio mpenzi sana. Hula mara moja moja sana. Kuliko kunilisha nyama mara tatu kwa wiki, ni bora unilishe maharage wiki nzimaNafagilia samaki hata mimi ila kubadilisha mara moja moja sio mbaya
Wiki nzima nipo kwenye huu uzi sijatoka lol inabidi mnipe tuzo ya kuganda humuSio mbaya kweli ila mimi na nyama kwa ujumla wake, sio mpenzi sana. Hula mara moja moja sana. Kuliko kunilisha nyama mara tatu kwa wiki, ni bora unilishe maharage wiki nzima
Kitu special kama kipi?. Ila sidhani...Humu ndani ili utoke inabidi upate kitu special
Nikikutajia mi mwenyeweSidhani kama utabaki nikikutajia
sidhani pia kama utabakiUtabaki, utabaki, utabaki!! Mbona kama sielewi hebu tajeni hiko kitu tuone, maana waweza kuta nabaki mimi peke yangu.Nikikutajia mi mwenyewesidhani pia kama utabaki
Peke yangu ndio nitabaki. Hakuna kitu bana God Heals ni story tu...Utabaki, utabaki, utabaki!! Mbona kama sielewi hebu tajeni hiko kitu tuone, maana waweza kuta nabaki mimi peke yangu.
Ndani yake ndimo lilipojificha joka lile, lililodhurumu mkate wa taifa hili.emmyta anapenda kila asemacho kieleweke ili kusiwe hata na chembe ya shaka ndani yake.
Taifa hili lishanchosha mana kila kukicha uhakiki usiokwisha.Ndani yake ndimo lilipojificha joka lile, lililodhurumu mkate wa taifa hili.
Uhakiki usiokwisha ni uonevu endelevu tu kwa wale wasio jamaa zao.Taifa hili lishanchosha mana kila kukicha uhakiki usiokwisha.
Jamaa zao wanasema kujua kusoma na kuandika inatosha. DaahUhakiki usiokwisha ni uonevu endelevu tu kwa wale wasio jamaa zao.
Daah! Inasikitisha na kuchekesha sana. Kweli ukitaka kujua mwendo wa mjinga......Jamaa zao wanasema kujua kusoma na kuandika inatosha. Daah
Mjinga mpaka aerevuke inachukua muda sanaDaah! Inasikitisha na kuchekesha sana. Kweli ukitaka kujua mwendo wa mjinga......
Sana sana utajipa tabu tu kumuelimisha mjingaMjinga mpaka aerevuke inachukua muda sana