Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Kujenga taifa ni msukumo wa kutoka ndani, ndani ya dhati ya roho zetu. Ukianzia kwa mtu mmoja mmoja, familia, koo, mpaka taifa.
Lakini kwa sasa msukumo huo umeharibiwa na ngazi ya juu(taifa)-kisera, kimfumo, kielimu, n.k

Vipi lakini wana nzengo, emmyta, alibakari, thatsit, Mwifwa, bbc, mtebetini, n.k mmeamkaje?
Mmeamkaje huko kwenu? Sisi hapa sote wazima wa afya, tuko tayari kwa ajili ya kulisongesha gurudumu la taifa
 
Salama lkn uko kwenu? Sisi tunashkur alhamdulillah kwa kweli maana kuna wengine wako mahospitalini hali zao sio nzuri. Ni jambo la kumshukuru muumba ukiamka mzima
Ukiamka mzima ni heri, na si kwa uweza wetu, ila aliyetuumba. Muhimu ni kuwaombea wale wenzetu wasioamka salama, wagonjwa ili waweze pata nafuu. Wasioamka kabisa basi wapate pumziko la milele.
 
Back
Top Bottom