God Heals
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 720
- 1,370
Kupambanua zuri na baya ni uwezo alopewa binaadamu, lakini kuna mda hata mnyama ana afadhali kadri ya matendo ya binaadamu wa leo.Kuwepo kwake saa nyingine ni kwa ajili ya kupima uwezo wa kupambanua zuri na baya