Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,195
Bado tu hujatumbuliwa wewe emmy?Serikali ya awamu ya tano inaongoza kwa uhakiki wa watumishi na utumbuaji wa majipu ila moja tu ndio bado
Bado tu hujatumbuliwa wewe emmy?Serikali ya awamu ya tano inaongoza kwa uhakiki wa watumishi na utumbuaji wa majipu ila moja tu ndio bado
Emmy hawezi kutumbulia kwa kuwa yeye siyo jipuBado tu hujatumbuliwa wewe emmy?
Pia nami nashukuru kwa kunisalimu. Mpe salamu mama klare. Mzima?..Sana sana ukinisalimu nitashukuru na kukusalimu pia.
Pia hata mimi nimependa kukusalimu ndauwoo uko gudSana sana ukinisalimu nitashukuru na kukusalimu pia.
Mzima saana. Halafu ni klaree sio klare. Raha ya hilo jina ulitamke kiarushaPia nami nashukuru kwa kunisalimu. Mpe salamu mama klare. Mzima?..
Kiarusha eee. Haya bana nimerekebisha mama klaree. Natamani ungesikia nilivyoitamka duuh. Kiswahili cha Arusha hatari sana aiseeMzima saana. Halafu ni klaree sio klare. Raha ya hilo jina ulitamke kiarusha
Aisee ni hatari kinomaaKiarusha eee. Haya bana nimerekebisha mama klaree. Natamani ungesikia nilivyoitamka duuh. Kiswahili cha Arusha hatari sana aisee
Kinomaaa aisee arifu.Aisee ni hatari kinomaa
Hatari kinoma kama uko bongo then hujafika arushaAisee ni hatari kinomaa
Arusha mji wa matajirii wa madiniHatari kinoma kama uko bongo then hujafika arusha
Arusha ni sehemu ya pekee Duniani. Nitazunguka kote ila Arusha ni zaidi na napapenda kinomaHatari kinoma kama uko bongo then hujafika arusha
Napapenda kinoma noma hata mimi. Sio siri aisee. Hebu tafuta siku moja twende kwa morombo wewe na mama klaree tukale nyama choma.Arusha ni sehemu ya pekee Duniani. Nitazunguka kote ila Arusha ni zaidi na napapenda kinoma
Napapenda kinom arusha coz ni mji wa real peopleArusha ni sehemu ya pekee Duniani. Nitazunguka kote ila Arusha ni zaidi na napapenda kinoma
Peoples power....!!Napapenda kinom arusha coz ni mji wa real people
Pale morombo nimepamiss vibaya .Napapenda kinoma noma hata mimi. Sio siri aisee. Hebu tafuta siku moja twende kwa morombo wewe na mama klaree tukale nyama choma.
Vibaya hivyo kupamiss kwa morombo tafuta siku uje bana upate nyama chomaPale morombo nimepamiss vibaya .
Nyama choma!!! Hivi emmy kweli upo kwa morombo!Vibaya hivyo kupamiss kwa morombo tafuta siku uje bana upate nyama choma
Nilikuwaga na demu huko asee nyama ilinipaga demu duh ile barabara kipindi hicho mvua ikinyesha bonge la tope natumai ni lami kwa sasa.Vibaya hivyo kupamiss kwa morombo tafuta siku uje bana upate nyama choma