Tamu kama nn??Nyama ya bata ni tamu
Tamu kama nn??Nyama ya bata ni tamu
Nn tuliongea jana unakumbuka lakiniTamu kama nn??
Lakini afadhali nimeshakulaNn tuliongea jana unakumbuka lakini
Sijashiba ugali nikiokula ila kama sister emmyta uko powa kwangu inakuwa furahaNimeshakula mi pia![]()
ila hata sijashiba.
Furaha yangu pia ni kuona mdogo wangu kelvin mzima wa afyaSijashiba ugali nikiokula ila kama sister emmyta uko powa kwangu inakuwa furaha
Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
Afya yangu hustawi pale ninapokutana na wapendwa wanguFuraha yangu pia ni kuona mdogo wangu kelvin mzima wa afya
Wangu hujamboAfya yangu hustawi pale ninapokutana na wapendwa wangu
Hujambo we bi dadaWangu hujambo
Dada sijambo, unatumia techno wereva na wewe?Hujambo we bi dada
Wewe mdogo wangu weweee. Hebu niache dada ako mie natumia nokia ya tochi tu.Dada sijambo, unatumia techno wereva na wewe?
Nokia ya tochi tu! Ama kweli jf haijawahi kuwaacha salama wanaojisifu wana hela kwenye majukwaa, kumbe tecno werevaWewe mdogo wangu weweee. Hebu niache dada ako mie natumia nokia ya tochi tu.


Nokia ya tochi tu! Ama kweli jf haijawahi kuwaacha salama wanaojisifu wana hela kwenye majukwaa, kumbe tecno wereva![]()
sio kwa kunichekesha huko.Huko watu washaliamsha dude?![]()
sio kwa kunichekesha huko.
Dude limeamshwa lakini nyie bado mmelalaHuko watu washaliamsha dude?
Mmelala kwani nyie mi hata sijui.Dude limeamshwa lakini nyie bado mmelala
Kitu kinachowafanya wapinge wanakijua uzito wake ndio maanaCjui wapinzan wanakuwa na gubu gan na serikal yaan wao ni kupinga tu kila kitu
Sent from my itel it1505 using JamiiForums mobile app
Maana halisi ya upinzani ni kupinga yasio sawa yanayofanywa na serikaliKitu kinachowafanya wapinge wanakijua uzito wake ndio maana
Serikali ya awamu ya tano inaongoza kwa uhakiki wa watumishi na utumbuaji wa majipu ila moja tu ndio badoMaana halisi ya upinzani ni kupinga yasio sawa yanayofanywa na serikali