Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
Tutakupongeza ukifanikiwa kushinda hii tuzoLugha gani kwani si ki English icho nimempa heshima yake bi dada japo anaweza kuwa ni msichana tu
Tutakupongeza ukifanikiwa kushinda hii tuzoLugha gani kwani si ki English icho nimempa heshima yake bi dada japo anaweza kuwa ni msichana tu
Tuzo hii ni yangu mnipe tu kabisaTutakupongeza ukifanikiwa kushinda hii tuzo
Kabisa nakuapia nilikuona ulikuwa unakatiza ile barabaraTuzo hii ni yangu mnipe tu kabisa
Viatu vyenyewe vinavaliwa mda mrefu, harufu ya soksi usiombe!barabara zetu ikinyesha tunavua viatu
Usiombe kupenda usipopendwaViatu vyenyewe vinavaliwa mda mrefu, harufu ya soksi usiombe!
Usipopendwa kuna shida yaani acha tuu ten years niliishia kualikwa ktk harusi.Usiombe kupenda usipopendwa
Harusi ya kualikwa na umpendaye ni nzuri mnoUsipopendwa kuna shida yaani acha tuu ten years niliishia kualikwa ktk harusi.
Nzuri mno pale unapoenda kujilipa Gharama zako ktk misosiHarusi ya kualikwa na umpendaye ni nzuri mno
Damu pia husafirisha chakula mubasharaMoyo sukuma damu
Mubashara ndio live kwa kizungu si eti. Wazima humu...Damu pia husafirisha chakula mubashara
Humu na hasa huku tu wazima kwa neema za AllahMubashara ndio live kwa kizungu si eti. Wazima humu...
Allah ndiye muweza wa yote kama uzima upo ndio kheri.Humu na hasa huku tu wazima kwa neema za Allah
Kheri kuwaapuuza wajingaAllah ndiye muweza wa yote kama uzima upo ndio kheri.
Wajinga ndio waliwao siku zoteKheri kuwaapuuza wajinga
Tuje tule pilau Leo?
