God Heals
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 720
- 1,370
Faida ni nyingi kiasi ila nkikuelezea itakuwa kitabu. Ila ni ya kawaida katika maisha yetu.Maswaibu gani hayo na uliyatatuaje. Hebu nipe kwa ufupi ili nami nipate faida
Faida ni nyingi kiasi ila nkikuelezea itakuwa kitabu. Ila ni ya kawaida katika maisha yetu.Maswaibu gani hayo na uliyatatuaje. Hebu nipe kwa ufupi ili nami nipate faida
Yetu Tanzania naipenda sanaFaida ni nyingi kiasi ila nkikuelezea itakuwa kitabu. Ila ni ya kawaida katika maisha yetu.
Sana kwa kweli maana ndiyo nchi yetu, ingawa hawa nyoka wa kijani wanatufanya tukose raha ndani ya ardhi yetu.Yetu Tanzania naipenda sana
Yetu Tz imejaa wasio na maamuzi binafsi kwani walio wengi wanaendeshwa na akili za kuadahiwa na vitu vya bure ndio mana kila wanapofika pale wanachojua ni kuweka alama ya ndio pasi kujali ubora wa wanayempa hiyo kura ya ndio.Sana kwa kweli maana ndiyo nchi yetu, ingawa hawa nyoka wa kijani wanatufanya tukose raha ndani ya ardhi yetu.
Ndio akili zao zilivyoYetu Tz imejaa wasio na maamuzi binafsi kwani walio wengi wanaendeshwa na akili za kuadahiwa na vitu vya bure ndio mana kila wanapofika pale wanachojua ni kuweka alama ya ndio pasi kujali ubora wa wanayempa hiyo kura ya ndio.
Zilivyo hadi zinakera saa nyingineNdio akili zao zilivyo
Saa nyingine wanahadaiwa na buku 5000, na mahindi ya komoni; Kuuza mustakabali wa maisha yao ya miaka mitano.Zilivyo hadi zinakera saa nyingine
Nyingine hakuna zote ndo zile zileZilivyo hadi zinakera saa nyingine
Zile za kupewa bahasha na kusahau kilichomo kwenye bahasha kwamba hakina uwezo wa kusogeza maisha japo kufika hata siku ya uchaguzi.Nyingine hakuna zote ndo zile zile
Uchaguzi ujao sina hata morali nao, maana mazuzu ni wengi sana wasiothamini kesho yaoZile za kupewa bahasha na kusahau kilichomo kwenye bahasha kwamba hakina uwezo wa kusogeza maisha japo kufika hata siku ya uchaguzi.
Uchaguzi wa nn wakati mshindi anajulikanaZile za kupewa bahasha na kusahau kilichomo kwenye bahasha kwamba hakina uwezo wa kusogeza maisha japo kufika hata siku ya uchaguzi.
Kesho yao wataijuaje kama leo wameshindwa kuthaminiwaUchaguzi ujao sina hata morali nao, maana mazuzu ni wengi sana wasiothamini kesho yao
Kuthaminiwa bila kujithamini ni sawa na imani bila matendo.Kesho yao wataijuaje kama leo wameshindwa kuthaminiwa
Kuthaminiwa humu hakuna mpaka page ya kupeana like imetuzidiKesho yao wataijuaje kama leo wameshindwa kuthaminiwa
Imetuzidi kwa mbali sana kutokana huku hamna wa kuliamsha dudeKuthaminiwa humu hakuna mpaka page ya kupeana like imetuzidi
Dude limeamka sasa, au wewe lako mpaka lishtuliweImetuzidi kwa mbali sana kutokana huku hamna wa kuliamsha dude

Neno la kujiuliza..huu uzi utaisha lini??nayo ni neno?
Hauwezi kuisha mana siioni hata daliliNeno la kujiuliza..huu uzi utaisha lini??
Dalili za kuisha kwa huu uzi ni pale nitakapoweka neno gumu mkashindwa kuumaliziaHauwezi kuisha mana siioni hata dalili