Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,077
- 122,414
Wapi yupo jamani huyo wambuziWambuzi kapotelea wapi?
Wapi yupo jamani huyo wambuziWambuzi kapotelea wapi?
wambuzi sijui yuko wapi labda majukumu..... za asubuhi wapendwa.Wapi yupo jamani huyo wambuzi
Wapendwa humu salama. Mi sijambo jakitoo. Mzima?wambuzi sijui yuko wapi labda majukumu..... za asubuhi wapendwa.
Mzima hata na mimi pia, nipo poa na naamini wanakijiji wote mu wazima. Wale wenye uchovu, wagonjwa Mungu atawajalia salama.Wapendwa humu salama. Mi sijambo jakitoo. Mzima?
Salama salmin.. M'mungu atawajaalia uzima na uimara wa afya zao.Mzima hata na mimi pia, nipo poa na naamini wanakijiji wote mu wazima. Wale wenye uchovu, wagonjwa Mungu atawajalia salama.
Zao afya kiukweli ndio furaha yetu, maana katika furaha ndipo lianzapo tunda la roho; upendo.Salama salmin.. M'mungu atawajaalia uzima na uimara wa afya zao.
Upendo kwa kila mtu bila kujali jinsiaZao afya kiukweli ndio furaha yetu, maana katika furaha ndipo lianzapo tunda la roho; upendo.
Jinsia haiwezi kututofautisha au kutugawa kadri ya maisha ya leo.Upendo kwa kila mtu bila kujali jinsia
Leo nimeamka na kahoma jamani mwenzenu nimeshindwa hata kwenda kulijenga TaifaJinsia haiwezi kututofautisha au kutugawa kadri ya maisha ya leo.
Kiuchumi hali ya taifa haijatengemaa, ila hata hivyo tukomae tu tena sana, kama washkaji, wanafamilia, jumuiya na taifa ili tujinasue. Ila wale wafuata upepo wa "ndiyoooooooo..." Mungu awafirigise sanaTaifa lipo kwenye hali mbaya kiuchumi.
Sana sana na kuwasaidia wanye mawazo huruKiuchumi hali ya taifa haijatengemaa, ila hata hivyo tukomae tu tena sana, kama washkaji, wanafamilia, jumuiya na taifa ili tujinasue. Ila wale wafuata upepo wa "ndiyoooooooo..." Mungu awafirigise sana
Huruma imetoweka sana miongoni mwa binadamu.Sana sana na kuwasaidia wanye mawazo huru
Binadamu hawana utuHuruma imetoweka sana miongoni mwa binadamu.
Utu uzima dawaBinadamu hawana utu
Dawa lkn sio ya nguvu za kiumeUtu uzima dawa
Kiume na kike ni jinsia mbili hazijafananaDawa lkn sio ya nguvu za kiume
Hazijafanana kabisa na sio jinsia pekee tu hata akili hazifananiKiume na kike ni jinsia mbili hazijafanana
Akili hazifanani hata mkiwa mapachaHazijafanana kabisa na sio jinsia pekee tu hata akili hazifanani
Mapacha nawapenda sana hasa wawe wanao fananaAkili hazifanani hata mkiwa mapacha