gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,807
- 15,846
Majina mengine ni magumu kuliko mawe humu ndaniNini unataka mwifwa kama ni viwanda vimeshakufa siku nyingi yamebaki majina
Majina mengine ni magumu kuliko mawe humu ndaniNini unataka mwifwa kama ni viwanda vimeshakufa siku nyingi yamebaki majina
Majina yale yaliyotajwa kwenye ripoti ya pili, eti na mimi nimoNini unataka mwifwa kama ni viwanda vimeshakufa siku nyingi yamebaki majina
Nimo hata mimi ila sijatajwa nashangaa.Majina yale yaliyotajwa kwenye ripoti ya pili, eti na mimi nimo
Nashangaa na kushangazwa ni jinsi gani viongozi wetu wa nchi wanakuwa sio waamini na wazalendo katika kutetea na kupigania haki na rasilimali za taifa letu, naamini Tanzania imepata Uhuru wa maneno lakini bado tuna tawaliwa na mataifa yaliyo endelea duniani.Nimo hata mimi ila sijatajwa nashangaa.
Duniani kuna mamboNashangaa na kushangazwa ni jinsi gani viongozi wetu wa nchi wanakuwa sio waamini na wazalendo katika kutetea na kupigania haki na rasilimali za taifa letu, naamini Tanzania imepata Uhuru wa maneno lakini bado tuna tawaliwa na mataifa yaliyo endelea duniani.
Mambo vipi emmytaDuniani kuna mambo
emmyta wa jf anawasilimia wote kwa ujumlaMambo vipi emmyta
Kwa ujumla naamini nyote mko salamaemmyta wa jf anawasilimia wote kwa ujumla
Salama kingaKwa ujumla naamini nyote mko salama
Salama salmini kwa upande wangu my wi , sijui na wengine nao hali zaoKwa ujumla naamini nyote mko salama
Hali zao taabani bin mautut kwa ulichowafanyia haswa gbefaSalama salmini kwa upande wangu my wi , sijui na wengine nao hali zao
gbefa hivi kumbe uko mautut pole mdogo wanguHali zao taabani bin mautut kwa ulichowafanyia haswa gbefa
Kinga ni niniSalama kinga
Wangu wewe ndio sababu hujue sio vizuri lakinigbefa hivi kumbe uko mautut pole mdogo wangu
Nini na nini unataka my wi nimeshasahau nikumbushe basi.Kinga ni nini
Gbefa umefanyiwa nini tenaHali zao taabani bin mautut kwa ulichowafanyia haswa gbefa
Tena dada sakayo kuna mtu kaniumiza sana leo humu Ila basiGbefa umefanyiwa nini tena
Basi niambie nini shida mdogo wanguTena dada sakayo kuna mtu kaniumiza sana leo humu Ila basi
Basi pole mana kakuumiza asubuhi asubuhi hivi. Msamehe bureTena dada sakayo kuna mtu kaniumiza sana leo humu Ila basi
Bure inauaBasi pole mana kakuumiza asubuhi asubuhi hivi. Msamehe bure