Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

c13eaf5cbeab5da33b6a0a11c9250ad7.jpg
 
Wako wengi wa namna hiyo, wanalifanya jukwaa la GT kuwa ni kijiwe cha udaku na kusaka yaliyo kwenye nyoyo zao
Nyoyo zao ni za kipekee. Ila inasikitisha mtoto wa kiume anapokuwa na tabia zisizoendana na jinsia yake. Hii inatufanya tusiishe kuwa mashaka.
 
Kichaa mimi huyo..!! emmyta na shamac mbona mnateteana sana, Mmeoana..?? Au ndo mnachepuka.? Shamac mke wa mtu huyo Shenz wew..!! Utakufa we danganyika tu hapo....!!

Mdonkela jiheshimu bhas walau kwa lisaa..!! Nimeku PM naona hutak kuskia...!!
 
Kuskia kitu gan, lazima tukwambie, umemganda dada wa watu anashindwa hata kuhema. Kaolewa huyo, PM yake anasema imejaa sms zako hakutaki mbona huskii..??

Mdonkela sifuatishi sms zako hata moja, wew ni mpumbavu, kwan ni dhambi mi kumtumia sms.? wew mbona una tabia za kike. Kipi kinakuuma ..?? Au unataka nije PM yako wew ndo nikupige sound..??
 

Mdonkela sifuatishi sms zako hata moja, wew ni mpumbavu, kwan ni dhambi mi kumtumia sms.? wew mbona una tabia za kike. Kipi kinakuuma ..?? Au unataka nije PM yako wew ndo nikupige sound..??
Sound anataka uyo, jamani muacheni bure huwezi jua ana stress gani maisha haya yanachanganya watu
 
Watu naona mnataka mumtetee huyu...,, Emmyta analalamika jamaa anamtongoza, anamsumbua, acha tumuonye huyu kijana...!

Hebu koma wewe sinaga mazowea ya ajabu ajabu hivyo na watu. Pia wacha uchonganishi. Hunijui sikujui.

Unaona sasa unavyoumbuka....! Tunataka tukupushe na haya wew ndo unayatafuta., Ushayapata ngoja uchambuliwe boya wew...!!
 
Back
Top Bottom