Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Pwani ya Kibiti au wapi unamaanisha kuwa tu muwaziKitu gan kinaendelea huko pwani
Pwani ya Kibiti au wapi unamaanisha kuwa tu muwaziKitu gan kinaendelea huko pwani
Muwazi ni nani katika nchi hiiPwani ya Kibiti au wapi unamaanisha kuwa tu muwazi
Muwazi tayari nimesha kuwa naam ni huko huko kibitiPwani ya Kibiti au wapi unamaanisha kuwa tu muwazi
Pwani ya Kibiti au wapi unamaanisha kuwa tu muwazi
Mwanaume asiye na maadili utamgundua kutokana na mienendo yake
Muwazi kwelikweli, usiwe kama yule jamaa anayejifunga kanga angali ni mwanamume...!!
Mwanaume asiye na maadili utamgundua kutokana na mienendo yake
Yetu ndio tena yale yasiyo na mshindi
Yake anayajua mwenyewe, sisi acha tufanye yetu.
Yetu ndio tena yale yasiyo na mshindi
Naamini mshindi hatopatikana labda uzi ufungwe
Mshindi mwingine hayupo zaidi yako naamini.
Naamini unayosema japo sio kwa asilimia 100 mana washiriki kila siku wanazidi kuongezeka.
Mshindi mwingine hayupo zaidi yako naamini.
Kuongezeka kwa ujinga ni ccm wamesababisha
Shule wameenda ila ajira ndio hawapati.Wamesababisha wao kwani wamekukataza kwenda shule.??
Kazi gani sasa unasemea. Hebu funguka basiHawapati chochote wakilalamika, wafanye kazi...!
Bure una wasiwasi tu. Laiti ungewaelesha wakakuelewa wala wasinge kula nyama.Basi nimeshawachana wasije kunila nyama bure...
Bure una wasiwasi tu. Laiti ungewaelesha wakakuelewa wala wasinge kula nyama.
Kitoweo sio cha kuliwa nyama yeye anamaanisha cha kupewa maneno makali hadi akakosa hamu ya jf.Nyama ya mtu tangu lini ikawa kitoweo..!!
Kitoweo sio cha kuliwa nyama yeye anamaanisha cha kupewa maneno makali hadi akakosa hamu ya jf.
Jf ina raha yake !!Kitoweo sio cha kuliwa nyama yeye anamaanisha cha kupewa maneno makali hadi akakosa hamu ya jf.
naona mgeni kaja na kichambo balaa, bora mwambie hapa furaha tu uchungu apeleke labourLabour hainifai mimi kimbunga wa kuja na kuondoka..!!