Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,117
- 122,526
Apeleke labour kabisaa wala sio uongo. Huku raha ndio sifa yake.Jf ina raha yake !!naona mgeni kaja na kichambo balaa, bora mwambie hapa furaha tu uchungu apeleke labour
Apeleke labour kabisaa wala sio uongo. Huku raha ndio sifa yake.Jf ina raha yake !!naona mgeni kaja na kichambo balaa, bora mwambie hapa furaha tu uchungu apeleke labour
Apeleke labour kabisaa wala sio uongo. Huku raha ndio sifa yake.
Misuto daily!! Itakua anatokea uswazi huyu
Yake anayoyajua ni michambo na misuto..!!
Misuto daily!! Itakua anatokea uswazi huyu
Huyu sio wa humu huyu. Ila akizowea ataenda na upepoMisuto daily!! Itakua anatokea uswazi huyu
Huyu sio wa humu huyu. Ila akizowea ataenda na upepo
Umemshinda fisi ule mfupa sijui nani atauwezaUpepo alokuja nao yeye mwenyewe umemshinda...!
Nishai hapa sio mahala pake hebu tuwacheni tuburudike na uzi wetu. Mbona hivyo khaaaaWewe ndo mkali wao eenh, natoa nishai.,!!
Makavu mi hata siyaogopi. Nakupa nafasi toa hayo makavu yako hadi utosheke. Pia usisahau utakapotosheka kutoa hayo makavu usisahau kuniita.Khaaa kitu gani.? tena wew ndo nlikua nakuwinda nikupe makavu..!
Khaaa kitu gani.? tena wew ndo nlikua nakuwinda nikupe makavu..!
Makavu umpe nani?? Hapa sote tunajielewa nahic umekosea njiaKhaaa kitu gani.? tena wew ndo nlikua nakuwinda nikupe makavu..!
Njia ya kupitisha nini, au makanikia?Makavu umpe nani?? Hapa sote tunajielewa nahic umekosea njia
Makinikia yamemliza rais leoNjia ya kupitishia makinikia?
Makinikia yana nafuu kuliko huyo anayejiita mtoa makavu.Njia ya kupitishia makinikia?
Samahanini jamani nna cheti cha mirembe., Ila nlikua kiongozi huko hazijafyatuka sana...!!
Kijiko pia kina nafuu. Hajui huku tumstaarabika basi tu ndio hivyo bwana binadamu hatuwezi kufanana hata siku moja.
Sana na mimi naona akili zako bado hazijai kijiko..!!
Kijiko pia kina nafuu. Hajui huku tumstaarabika basi tu ndio hivyo bwana binadamu hatuwezi kufanana hata siku moja.
Kinachomsumbua mtu ni kushindwa kutofautisha mwanaume na mwanamke
Moja ya thread zake anasema amekataliwa kwa sababu ya ufupi, nahisi ndio kinachomsumbua...!!
Kinachomsumbua mtu ni kushindwa kutofautisha mwanaume na mwanamke