Taifa hili litachelewa kupata maendeleo kutokana na aina ya watu wakeTuna aina nyingi za maendeleo. Ya mtu binafsi na ya watu wote kama jumuiya ama taifa
Taifa hili litachelewa kupata maendeleo kutokana na aina ya watu wakeTuna aina nyingi za maendeleo. Ya mtu binafsi na ya watu wote kama jumuiya ama taifa
Wake kwa waume tuunganeniTaifa hili litachelewa kupata maendeleo kutokana na aina ya watu wake
Tuunganeni kumdharau huyo anayetaka mambo asiyoyaweza.Wake kwa waume tuunganeni
Asiyoyaweza lakini anajifanya anayaweza.Tuunganeni kumdharau huyo anayetaka mambo asiyoyaweza.
Kabla ya kujaribu kumeza wembe hebu jiulize nani aliwahi kujaribuAsiyoyaweza lakini anajifanya anayaweza.
Wahenga walisema "Kujaribu si kushindwa" lakini yeye kashashindwa hata kabla ya kujaribu
Kujaribu jaribu si vizuri aiseeKabla ya kujaribu kumeza wembe hebu jiulize nani aliwahi kujaribu
Aisee we jaribu tu mbona unasitaKujaribu jaribu si vizuri aisee
Unasita sita mwishoe ukosee tunduAisee we jaribu tu mbona unasita
Tundu halikosewi hata kwenye gizaUnasita sita mwishoe ukosee tundu

Unakimbia nn?? Baki hapa hapa hamna kukimbia utuambie umekusudia kusema nini??Tundu halikosewi hata kwenye giza![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nini unakificha toa kabla sijakuuaUnakimbia nn?? Baki hapa hapa hamna kukimbia utuambie umekusudia kusema nini??
Sijakuua?? Ww jambazi au?? Sitaki kutishwa sitoi kitu me mwenyewe gangster. Emmyta dada njoo jamaa anaanza kuniharibia sikunini unakificha toa kabla sijakuua
murua ,eti ni kweli linafanana na muwaTrump ntakunyea nikuharibie siku wew nani hadi siku yako iende murua?
Muwa? Muwa upi?murua ,eti ni kweli linafanana na muwa
Upi mtamu ubuyu wa njano au mwekundu??Muwa? Muwa upi?
Mwekundu kama miele ya motoUpi mtamu ubuyu wa njano au mwekundu??
MOTO USIWE MKALI BABY UTAUNGUZA MBOGAMwekundu kama miele ya moto
Mwekundu aisee, si unajua tena vitu vyekundu jinsi vilivyo vitamu?Upi mtamu ubuyu wa njano au mwekundu??
Vitamu vina madharaMwekundu aisee, si unajua tena vitu vyekundu jinsi vilivyo vitamu?