Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,121
- 122,551
Kamili tena sio na roboZanzibar ni nchi isiyokuwa na mamlaka yake kamili
Kamili tena sio na roboZanzibar ni nchi isiyokuwa na mamlaka yake kamili
Zanzibar ni kipande cha ardhi kilichomeguka kutoka inayijulikana leo kama TanganyikaSalimini aliwahi kuwa rais huko Zanzibar
Dr. Ichumbaki kwa hapo kasema uongoZanzibar ni kipande cha ardhi kilichomeguka kutoka inayijulikana leo kama Tanganyika
-Dr. Ichumbaki
Uongo una wenyeweDr. Ichumbaki kwa hapo kasema uongo
kama yule bi dadaUongo umejidhihirisha sana katika utawala wa awamu ya tano kwa asilimia kubwaDr. Ichumbaki kwa hapo kasema uongo
dada emmyta swaumu ipo ?Uongo una wenyewe kama yule bi dada
Ipo kaka james kama kawaidadada emmyta swaumu ipo ?
Kifo kitamuumbua lazima, coz wale wauaji ni professional snipper ya wanaua kwa masafa yambali, kinacho tia shaka ni mfukukizo wa mauaji ya viongoz serikali zamtaa, wajumbe n.k.... Zaidi yahapo wakishatekeleza mauaji hawachukui mali yyote. JangaWanaficha nini sasa kwani Ndugu zangu wa Musoma wanamsemo "mfichaficha maradhi kifo kita muumbua"
Janga hili tutalila hata wasiolichumaKifo kitamuumbua lazima, coz wale wauaji ni professional snipper ya wanaua kwa masafa yambali, kinacho tia shaka ni mfukukizo wa mauaji ya viongoz serikali zamtaa, wajumbe n.k.... Zaidi yahapo wakishatekeleza mauaji hawachukui mali yyote. Janga
Mauaji ya kibiti ndio yanatisha kwa sasaWasiolichuma wanaonewa serikali ingeangalia namna ya kupunguza haya mauaji.
Sasa nashindwa kuelewa tunakoelekea, kila siku matukio mazito yanaibukaMauaji ya kibiti ndio yanatisha kwa sasa
Yanaibuka bila hata kuwa na sababu ya msingiSasa nashindwa kuelewa tunakoelekea, kila siku matukio mazito yanaibuka
Eti leo ndio siku ya Jumatatu!Msingi mzuri ni UKWELI.
Jumatatu ndio leo, ulijua lini??Eti leo ndio siku ya Jumatatu!
Lini ulijua mimi nimesema hivyo?Jumatatu ndio leo, ulijua lini??
Hapa kazi tu, ndio maana unaambiwa uende kaziniUjenzi naufanya kwa kunyapia nyapia.
Hahahahaahaaaa, kwa nini umefikiria hivyo emmyta, naona unanitumbua kisiri siri hapa